• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

JUMLA YA KATA 9 NA MITAA 27 KUSHIRIKI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA NOVEMBA 24,2019.

Posted on: November 22nd, 2019

MSIMAMIZI  wa Uchaguzi  Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Ndg. Waziri Kombo, ametangaza Kata na Mitaa inayotarajiwa kushiriki  katika zoezi la  Uchaguzi Serikali za Mitaa siku ya Jumapili Novemba 24,2019.

Ratiba hiyo ameitoa leo mapema Ofisini kwake, ambapo zoezi hilo litahusisha jumla ya Kata 9 na Mitaa 67 ambazo zitashiriki katika kinyang'anyiro cha Uchaguzi Kwa nafasi ya wenyeviti wa mitaa ,wajumbe kundi mchanganyiko,na wajumbe kundi la wanawake.

Amesema kupungua kwa Vyama vya Siasa katika kushiriki   zoezi la uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Morogoro kumetokana na Vyama vya Upinzani kujiondoa katika kushiriki Uchaguzi na kusababisha baadhi ya maeneo  wagombea wa Chama Tawala CCM kupita bila kupingwa.

Aidha, amezitaja Kata zitakazoshiriki zoezi la Uchaguzi Serikali za Mitaa, Miongoni mwa Kata hizo ni pamoja na Kata ya Uwanja wa Taifa ,Mafisa,Tungi,Luhungo,Mindu,Chamwino,Mkundi,Mazimbu, na Kauzeni.

 Amesema katika Mitaa yote kwenye kata zinazoshiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa , vipo vyama vya siasa vilivyoshiriki katika maombi ya kujaza fomu lakini baadhi ya  wagombea wao walijiondoa na hiyo kupelekea wagombea wa CCM katika Kata hizo na Mitaa kupita bila kupingwa.

"Jumapili Novemba 24, 2019 utafanyika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, hivyo kwa nafasi yangu ya Msimamizi wa Uchaguzi Manispaa ya Morogoro nimeona nitoe taarifa juu ya uchaguzi huu ,lakini kama unavyoona katika taarifa  ni kwamba wapo wagombea wa Vyama vya Upinzani walishiriki zoezi la kujaza  fomu za uchaguzi, lakini wapo wagombea ambao walikosa sifa kwa mujibu wa sheria zilizopo na wengine waliopita katika maombi walijiengua  kufuatia matamko ya  kauli za Viongozi wao wa juu" Amesema Waziri Kombo.

Amevitaja vyama vilivyoshiriki katika kuchukua fomu za Uchaguzi Serikali za Mitaa kabla ya Wagombea wao hawajaenguliwa na wengine kujitoa, miongonii mwa vyama hivyo ni  Chama cha Mapinduzi CCM, United Democratic Party (UDP) pamoja na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Mbali na hayo, amewaasa na kutoa rai kwa  Wananchi kutofanya fujo katika uchaguzi na kuwataka wale wote waliojiandaa kufanya fujo kuacha mara moja kwani watakao bainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa