• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

JUMLA YA VIWANJA 3250 KUTUMIKA KUTATUA MIGOGORO YA MILIKI PANDIKIZI MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: November 24th, 2021

 MKURUGENZI wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, amesema Manispaa ya Morogoro ipo mbioni kutumia jumla ya Viwanja 3250 kwa ajili ya kutatua migogoro ya ardhi miliki pandikizi kwa ajili ya wananchi ambao walikuwa na migogoro ya ardhi mara baada ya kupatiwa mkopo wa shilingi Bilioni 1kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kupanga, kupima na kumilikisha viwanja katika eneo lililokuwa na mgogoro katika shamba la Tungi ( Tungi Sisal Estate).


Hayo ameyazungumza Novemba 18/2021 katika Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kilakala Soko Kuu la Chifu Kingalu Morogoro.


Akizungumza na Waandishi wa habari, Machela, amesema Manispaa ya Morogoro inatarajia kupata Viwanja 6250 kutoka katika ekari 4000 zilizorudishwa kwa wananchi kupitia wawekezaji wa Star City eneo la Tungi Estate.

Machela, amesema kati ya hekari hizo 4000, katika utekelezaji wake , Manispaa ya Morogoro itapata asilimia 45% ya viwanja vitakavyozalishwa na asilimia 55% itabaki kwa Wananchi wa eneo la Star City.

Hata hivyo, amesema kuwa, kupitia viwanja hivyo, jumla ya shilingi 7,466,715,00.00 zinatarajiwa kukusanywa kutokana na mauzo ya viwanja, na hivyo kuipatia faida Manispaa ya Shilingi milioni 6,308,715.00 baada ya kuondoa gharama za uzalishaji.

Amesema faida nyinginezo zitakazo patikana ni ongezeko la makazi yaliyopangika kutoka asilimia 65% ya sasa mpaka 70% ongezeko la wigo wa mapato yatokanayo na kodi ya ardhi na uwepo wa maeneo ya huduma za jamii.

Aidha, amesema kuwa katika Mwaka wa fedha 2021/2022 Manispaa ilitenga bajeti ya shilingi 127,000,000.00 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za kupanga na kupima hivyo kupelekea upungufu wa shilingi Bilioni 1,031,000,000.00.


Mwisho, amesema fedha zitakazopatikana kama faida zitaiwezesha Halmashauri kuendeleza shughuli za upangaji , upimaji na umilikishaji wa viwanja katika maeneo mengine ya mji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA MOROGORO May 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWAN TAREHE 19.08.2021 August 18, 2021
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ATOA NENO KUHUSU UTAPIAMLO.

    August 05, 2022
  • MANISPAA MORO YAOMBA USHIRIKIANO NA TIC KUTANGAZA MAENEO YAKE YA UWEKEZAJI

    August 03, 2022
  • MAONESHOYA NANENANE KANDA YA MASHARIKI YAANZA KWA KASI MKOA WA MOROGORO

    August 01, 2022
  • LUKWELE APITA KWA KISHINDO UCHAGUZI NAIBU MEYA MANISPAA YA MOROGORO

    July 20, 2022
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa