• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA FEDHA MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: May 18th, 2022

WAJUMBE wa Kamati ya fedha na Uongozi Manispaa ya Morogoro, wameridhishwa na utekelazaji wa miradi ya maendeleo, inayotekelezwa na fedha za Umma .

Hayo yamesemwa Mei 18/2022 katika ziara ya kamati hiyo baada ya kutembelea miradi ya maendeleo ikiwepo Kituo cha Afya Kata ya Lukobe, Jengo ambalo linahitaji kuendelezwa kuwa Zahanati Kata ya MjiMkuu, Shule mpya ya Sekondari Kata ya Mindu ambayo ujenzi wake umefikia asilimia 72 pamoja na kukagua fremu zilizopo Soko Kuu la Chifu Kingalu kwaajili ya kuangalia mwenendo wa ulipaji wa kodi kwa wafanyabiashara.

Aidha Wajumbe hao wamefurahishwa zaidi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku wakiwataka wataalamu kuongeza nguvu ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo, mwakilishi wa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Salma Mbandu, amebainisha kuwa, Kamati hiyo ya Fedha, imeridhishwa na hali ya miradi yote iliyotembelewa na kuongeza kuwa hii ni kuonesha kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

"Miradi ni mizuri, imetekelezwa kwa viwango na ubora unaokubalika, imetekelezwa kwa kuzingatia Ilani ya Chama cha Mapinduzi pamoja na maelekezo yanayotolewa na Serikali, ikiwa na lengo la kuwahudumia wananchi wote bila kujali itikadi zao, tunapongeza sana juhudi za Mhe. Rais, Mama yetu Samia Suluhu Hassan" Amesema Mhe. Mbandu.

Naye Mjumbe wa kamati hiyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mwembesongo, Mhe. Ally Kalungwana, amesema kuwa, utekelezaji wa miradi hiyo, unapambanua juhudi za serikali ya awamu ya sita kisekta, kwa kupanua wigo katika sekta ya elimu kwa kujenga vyumba vya madarasa pamoja na kuongeza vituo vya afya hususani Manispaa ya Morogoro ambapo kwasasa kuna Vituo vya afya 2 ambavyo vipo katika hatua za ujenzi.

Kuhusu, mwenendo wa kodi za waliopanga katika fremu za Soko Kuu la Chifu Kingalu, Mhe. Zamoyoni Abdallah, amesema wadaiwa sugu wote wapewe barua za notes ilikuongezewa muda wa kulipa madeni na kama watashindwa basi maeneo hayo yatangazwe upya ili Soko liweze kujiendesha kupitia kodi za wafanyabiashara.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa