• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: April 16th, 2018

Kamati ya Fedha na Uongozi  ya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika kata ya kichangani,kauzeni  na Sultani Area.


Katika ziara hiyo wajumbe pamoja na wataalamu kutoka halmashauri walitembelea maendeleo ya ujenzi wa barabara za Tubuyu(k.m 2.4),Nanenane (km.1.6) na Maelewano(km.0.6),sambamba na ujenzi wa kituo cha wanafunzi wenye mahitaji maalumu kata ya Kauzeni.

Akizingumza wakati wa ziara hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ambae pia ni Mstahiki Meya Mhe.Pascal Kihanga ametoa pongezi kwa wataalamu kwa usimamizi mzuri wa miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya Manispaa ya Morogoro.

Aidha Kamati imemtaka Mhandisi wa Manispaa Ndg.Juma Gwisu kumsimamia mkandarasi anaejenga barabara za Tubuyu,Nanenane na Maelewano ambae ni Group Six ,ili aweze kumaliza kazi kwa wakati kama ilivyopangwa katika mkataba.

Kamati ya Fedha na uongozi pia ilikagua ujenzi wa vyumba vya wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Kauzeni na kutoa pongezi kwa uongozi wa shule ,Afisa Elimu Msingi na Mhandisi kwa kubuni mradi huo na hatimaye kuletewa fedha za utekelezaji wa mradi huo.

Ilielezwa kuwa lengo la mradi huo ni kuweka mazingira ya mazingira ya kujifunzia na kufundishia kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu na kuondoa adha ya kutumia chumba kimoja kama darasa,jiko na bwalo.Mradi huo hadi kukamilika utagharimu kiasi cha Tsh 146,600,000.00 fedha zilizotolewa na katika Wizara ya Elimu,sayansi na Teknologia kupitia mradi wa lipa kulingana na matokeo(Education perfomance for Result -EP4R).Alieleza Ndg. Juma Gwisu.

Hii ni mojawapo ya ziara za ukaguzi wa miradi zinazofanywa na kamati mbalimbali kwa lengo la kuboresha na kufatilia utekelezaji wa miradi mbalimbali.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa