• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI NA AFYA MANISPAA YA MOROGORO YARIDHIA UJENZI WA KIVUKO VITULI KATA YA BIGWA

Posted on: April 15th, 2021

Kamati ya Huduma za Uchumi, Elimu na afya Manispaa ya Morogoro imeridhia ujenzi wa Kivuko kinachounganisha Mtaa wa Vituli pamoja na Buhomela Kata ya Bigwa .

Kauli hiyo imetolewa leo Aprili 15/2021 katika Ukumbi wa Kingalu Soko Kuu la Morogoro wakati wa majumuisho ya ziara ya Kamati hiyo.

Akizungumza mara baada ya kupitisha maridhiano hayo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kingo, Mhe. Amin Tunda, amesema kutokana  na changamoto waliyoiona  ipo haja ya kivuko hicho kuanza kuchukua hatua za ujenzi.

Mhe. Tunda, amesema kuwa, mara baada ya kivuko hicho kukamilika kitasaidia kuondoa adha kwa wananchi ambapo mto huo umepita lakini umekuwa ni njia kubwa ya watu kupita pamoja na kupitisha bidhaa za mazao yao.

"Kamati imeona na imejiridhisha kuwa tuanze utaratibu wa ujenzi mapema, tumeona jinsi eneo hilo linavyutumiwa na watu wengi hususani watu kupita hapo wakiwa na mizigo ya bidhaa kupeleka Soko la Mwanzo mgumu, hii ni adhabu twendeni tukaanze ujenzi japo kunachangamoto ya vivuko vingi lakini hapa tumeona ni jinsi gani wananchi wanavyopta shida wakati wa mvua zinaponyesha huku shughuli zao za uchumi zikisimama" Amesema Tunda.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, amesema kuwa changamoto zipo nyingi za vivuko pamoja na barabara , hivyo japo vyengine havipo katika bajeti lakini wataangalia ni kwa namna gani wanatatua changamoto hizo zinazowakabili wananchi.

Lukuba, katika kutoa majibu hayo, amemuagiza Mchumi wa Manispaa ya Morogoro pamoja na Mhandisi wa Manispaa kuangalia njia gani ambayo wanaweza kuanza nayo ili kuchukua hatua za awali.

Naye Mjumbe wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amesema ni bora ujenzi ukaanza kwani kivuko hicho kimekuwa kikitumiwa na wakazi wengi ambao wametenganishwa na mto.

Kihanga, amesema kuwa ujenzi wa vivuko pia uendane na ujenzi wa ukarabati wa barabara kwani asilimia kubwa ya Kata za pembezoni barabara zake hafifu na hazipitiki jambo ambalo linakwamisha shughuli za maendeleo kufanyika.

Kwa upande wa Mhe. Thomas Butabile, Diwani wa Kata ya Mafiga, amesema ni bora eneno hilo likaangaliwa kwa jicho la tatu kwani wakazi wengi wa Bigwa wanaotumia eneo hilo linalohitaji kivuko ni wafanyabiashara.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa