• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MANISPAA YA MOROGORO YAAGIZA KUKAMATWA MKANDARASI ANAYEJENGA STENDI YA DALADALA KALOLENI

Posted on: January 16th, 2020

Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama Manispaa ya Morogoro ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Morogoro Mhe. Regina Chonjo ameagiza kukamatwa kwa mkandarasi wa kampuni ya ujenzi ya Fast kutokana na kushindwa  kufuata masharti ya mkataba wake ya kukamilisha ujenzi wa mradi wa stendi ya dalala kaloleni.

Akiongea na waandishi wa habari baada ya kamati hiyo kufanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali Manispaa ya Morogoro Mhe. Chonjo amemuagiza  kaimu Kamanda wa polisi Wilaya(OCD), na TAKUKURU kushirikiana kuharakisha zoezi la kukamatwa kwa mkandarasi huyo kabla ya  jumamosi tarehe 18 ili aeleze sababu za msingi za kushindwa kukamilisha mradi huo na kurejesha fedha alizopewa kama malipo ya awali kiasi cha Tsh 108,714,375.00  kwa kuwa kazi iliyofanyika eneo la mradi haizidi ata milioni tano.

Aidha ameagiza ufuatiliaji ufanyike katika  benki iliyomuwekea dhamana mkandarasi huyo ya China Commercial na kuona kama benki hiyo ina tawi ndani ya Tanzania.

"kuanzia leo hakuna benki ya nje ya nchi itakayomwekea dhamana mkandarasi yoyote anayefanya kazi ndani ya Manispaa ya Morogoro,tafuteni benki za hapa nchini  ambazo zina matawi katika mikoa yote ili iwe rahisi kuzifatilia pindi wakandarasi  wanaposumbua"Alisema Mhe.Chonjo.

Naye Mstahiki meya wa manispaa ya morogoro Mhe. Pascal Kihanga ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa amesema  kama kamati wameamua kuvunja mkataba kutokana na mkandarasi huyo kushindwa kufanya kazi kwa mda aliopangiwa kwa mujibu wa mkataba ili kunusuru fedha za mkopo wa benki ya dunia chini ya mpango  wa uboreshaji miji (ULGSP) zilizotolewa kwa ajili ya  ujenzi wa stendi hiyo.

Kwa upande wake msimamizi  wa mradi huo meneja wa TARURA w Manispaa ya Morogoro Mhandisi James Mnene amesema inavoonekana mkandarasi huyo  ameshindwa kufanya kazi hiyo kwani hadi sasa amefanya kazi kwa asilimia 15 ikiwa ni nje ya mkataba wake unavosema na hadi sasa alitakiwa kuwa amefanya kazi kwa asilimia 96 na alitakiwa kukabidhi kazi hiyo ifikapo Januari 19,2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa