• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KUELEKEA MIAKA 62 YA UHURU WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO WAMESHRIKIANA NA WALENGWA WA TASAF KUTUNZA MAZINGIRA

Posted on: December 7th, 2023

Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Manispaa ya Morogoro kwa kushirikiana na walengwa wa TASAF wa Kata za Sultan na Mji Mkuu, leo, tarehe 08.12.2023, wamepanda miti 85 kwenye eneo la mto Kikundi, ikiwa ni mojawapo ya shughuli ambazo Manispaa ya Morogoro inazifanya kuelekea katika maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Kwa mujibu wa Afisa Mazingira wa Manispaa ya Morogoro, ndugu Dauson Jeremiah, miti hiyo iliyopandwa leo, imekabidhiwa kwa walengwa wa TASAF wa Kata za Sultan na Mji Mkuu ili waitunze mpaka itakapokua lakini pia kwa kuwa zana ya mazingira ni shirikishi, ndugu Dauson amewataka wananchi kuhakikisha wanailinda miti iliyopandwa na kuhakikisha inakua.

Ndugu Jeremiah amesema, kitengo cha mazingira cha Manispaa ya Morogoro kilianzisha mashuleni Kampeni ya Soma na Mti ambapo kila mwanafunzi anatakiwa kupanda mti mmoja na kuhakikisha anaulinda na kuuhudumia hadi utakapokuwa mkubwa.

“Mbali na Kampeni hiyo ya Soma na Mti, hivi sasa ili mtu apate kibali cha Manispaa cha ujenzi ni lazima awe amepanda miti mitatu katika eneo analotazamia kufanya ujenzi ndipo aweze kupatiwa kibali hicho. Vilevile, hivi karibuni tumeanza Kampeni nyingine inayotaka kila nyumba ipande miti mitatu ya kivuli na tayari mpaka sasa tunayo jumla ya miti 20,000 ambayo tumeshaanza kuigawa bure kwa wananchi ili waweze kuipanda majumbani mwao” alieleza Jeremiah.

Kwa upande wake mtendaji wa mtaa wa Ukwele na Kota, Bi. Fatuma Said amesema yeye kama msimamizi wa shughuli za Manispaa ndani ya mtaa wake atahakikisha miti yote iliyopandwa inalindwa na kutunzwa vyema kwa ajili ya kuendelea kuhifadhi mazingira ya eneo hilo.

"Nitaendelea kutoa elimu kuhusu utunzaji wa miti hii kwa wafanyabiashara ambao muda mwingi hasa Jumamosi huwa wanafanya biashara zao karibu na mto huu wa Kikundi. Vilevile, nitasimamia vyema walengwa wa TASAF wa eneo langu waliokabidhiwa miti hii ili kuhakikisha wanaitunza" alisema Bi.Fatuma.

Aidha, kabla ya zoezi la upandaji miti, wakuu wa Divisheni na Vitengo pamoja na watendaji wa Kata wa Manispaa ya Morogoro walifanya usafi wa mazingira ya Soko Kuu la Kingalu.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa