• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MAMIA YA WANANCHI WAFURIKA MAPOKEZI YA RAIS SAMIA MANISPAA YA MOROGORO, ATOA NENO KUHUSU KULINDA AMANI

Posted on: July 7th, 2021

Mhe.Samia H. Suluhu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewataka wananchi kuendeleakulinda amani na umoja kwa ajili ya kujengaTaifa.

Kauli hiyo,ameitoa Julai 7/2021 ,wakati akizungumza na wakazi wa Halmashauri ya Manispaa yaMorogoro katika eneo la Stendi ya Mabasi Msamvu.

Mhe.Samia, amesema wapo watu wanaleta vurugu jambo ambalo halina afya kwa nchi hii nakusababisha kuchelewa kupata maendeleo.

Aidha,amesema changamoto zote zikiwemo za ardhi, biashara ,elimu, maji na miundombinuSerikali ipo makini na tayari hatua zimeshachukuliwa ili wananchi waendelee kupatahuduma bora.

Amesemakuwa Serikali itahakikisha kuwa inatekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCMkwa vitendo ili yale yote yaliodhamiriwa kufanyika yanafanyika na kuleta matunda.

"Serikalitunatekeleza Ilani ya CCM kwa asilimia kubwa, tuna miradi mikubwa tumeshaanza kuitekelezana inaendelea vizuri,  tayari huduma za afya, maji , miundombinu tumeshaanzakuboresha kwa asilimia kubwa, niwaombe sana Viongozi mliopewa dhamana fanyeni kazina kutoa huduma bora kwa wananchi ambao wana matumaini makubwa na Serikali yao,imarisheni ulinzi na usalama ili Taifa letu liendelee kuwa nuru kubwa ya amani Afrikanzima na Duniani kote, Taifa likiingia katika machafuko hata hayo maendeleo tunayoyatakasasa hatutayapata tena" AmesemaSamia.

"Leonimepita kuwasalimia, kuwaona na kutambuana, sio ziara yangu rasmi ya kikazi,kama  Mkuu wa Mkoa alivyoniomba kuja kufanya ziara , niwaahidi nitarudi kufanyaziara Mkoa huu ili tuzungumze kwa pamoja na tuone jinsi gani tunavyoweza kushirikianakusongesha Taifa mbele kimaendeleo" Ameongeza Mhe. Samia.

Naye Mkuuwa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Martine Shigela, amempongeza Rais Samia, kwa kuipatiaMkoa wa Morogoro miradi mikubwa ya Kimkakati.

Shigela,amesema kwa kushirikiana na Viongozi wa Mkoa wa Morogoro watahakikisha miradi hiyoya kimkakati inafanya kazi na kuendelea kuwahudumia wananchi.

"Tunashukurusana kwa ujio wako Mhe. Rais, wana Morogoro wanaimani kubwa sana na wewe ,tunaomba ufike kufanya Ziara ili wananchi hawa wakusikie na kupokea maagizo yako,Manispaa yetu ya Morogoro tunatamani siku moja iwe Jiji, lakini tunaamini hilo linawezekanakama tukiendelea kujipanga vizuri na kila mtu akafanya kazi kwa nafasi yake" Amesema Shigela.

Katikahatua nyingine, amempongeza sana Rais Samia kwa kukutana na Wananchi wa Manispaaya Morogoro na kumuomba kutenga muda wa kufanya ziara katika Mkoa wa Morogoro ambapoRais Samia amekubali ombi hilo.

Kwa upandewa Kaimu Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Fikiri Juma, amemuomba Mhe. Rais kusaidiakuweza kufufua Viwanda vilivyokufa Manispaa ya Morogoro kwani asilimia kubwa yaViwanda hivyo vilikuwa vinatoa ajira kwa wananchi.

Fikiri,amesema asilimia kubwa ya wananchi wa Mkoa wa Morogoro ajira kubwa wanategemea Viwandakatika kuendesha maisha yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa