• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA MORO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

Posted on: June 17th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imeadhimisha siku ya mtoto wa Afrika inayoazimishwa Afrika nzima kila ifikapo tarehe 16 Juni lengo ikiwa ni kukumbuka mauaji ya watoto yaliyofanyika huko SOWETO Afrika ya kusini mwaka 1976. Chimbuko la Maadhimisho haya ni Azimio lililopitishwa na uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) mwaka 1990

 

 Wanafunzi zaidi ya 10,000 waliandamana kupinga elimu duni na ya kibaguzi ya wakoloni ambapo wanafunzi 176 waliuawa katika maandamano hayo na mauaji hayo yalileta majonzi makubwa katika bara letu na kusababisha kuwepo kwa siku hii ili kupinga vikali ukatili dhidi ya watoto na kuhakikisha wanalindwa na kupatiwa haki stahiki.

 

Akisoma risala mbele ya mgeni rasmi Mhe Regina Chonjo Mkuu wa Wilaya ya Morogoro mtotoMichael Zungu ameeleza kuwa siku ya mtoto wa Afrika inawakumbusha watoto hatua ya kijasiri waliyoichukua watoto wenzao huko Afrika Kusini katika kulinda haki zao.Hatua hiyo imeonesha kuwa watoto wanaweza kuleta mabadilko hata wakiwa na umri dogo,hivyo siku hiyo uadhimishwa kwa maslahi mapana na kuwakumbusha wazazi/wazazi,wadau na serikali kushughulikia changamoto zinazowakabili ipasavyo.

Aidha alieleza kuwa watoto wanaishukuru Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kwa kuwathamini sana watoto kwa kufanya jitihada katika kuhakikisha haki za watoto zinalindwa na kutekelezwa katika ngazi zote na kwa kwa kuhakikisha hili Manispaa imeunda mabaraza ya watoto kuanzia ngazi ya mtaa,kata na Manispaa.

Pia Manispaa imeunda kamati za ulinzi na usalama za wanawake na watoto katika kata 29 na kamati hizi zimekuwa zikielimisha jamii juu ya haki za wanawake na watoto pamoja na kuzilinda,alisema Zungu.

Aidha ameeleza kuwa watoto wa Manispaa ya Morogoro bado wanapitia changamoto mbalimbali zikiwemo za vitendo vya ukatili wa kimwili,kihisia,kiuchumi na kingono katika mazingira wanayoishi hivyo ameiomba serikali kwa kushirikiana na wadau kuendelea kukemea vitendo vya dhidi ya watoto na hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yao.

Kauli mbiu ya siku ya mtoto wa Afrika mwaka huu ni "MTOTO NI MSINGI WA TAIFA ENDELEVU,TUMTUNZE,TUMLINDE NA KUMUENDELEZA.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa