• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA MORO YAWEKA MKAKATI WA KUONGEZA MAKUSANYO YA MAPATO YA NDANI ILI KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA

Posted on: February 11th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro  kwa mwaka wafedha wa 2019/2020 inakisia kukusanya kiasi cha Sh 6,308 ,182,527.15  kutokakwenye vyanzo vyake vya ndani.

Licha ya kukisia kukusanya kiasihicho kutoka kwenye vyanzo vyake vya ndani, pia inakisia kupokea kiasi cha Sh 71,733,620,681.50kutoka vyanzo vya halmashauri, mapato kutoka Serikali kuu na kutoka kwawahisani.

 

Meya wa Manispaa , Pascal Kihangaalisema hayo   katika hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano maalumuwa bajeti  ya mwaka wa fedha 2019/2020 uliofanyika Februari 6, mwakahuu kwenye ukumbi wa halmashauri mjini Morogoro.

 

Alisema , licha yakukisia  kupokea mapato ya kiasi cha Sh bilioni 71 .7 kutoka kwenyevyanzo hivyo vya mapato ,halmashauri pia  imelenga kuimalishaukusanyaji wa mapato ya ndani .

Kihanga  alisema ,halmashauriina kisia kukusanya kiasi cha  Sh bilioni 6.3 ambapo  niongezeko la Sh milioni 691 .8 ambayo ni sawa na asilimia 12.32 ya makadirio yamwaka  2018/2019 ya Sh bilioni 5.6

 

Meya wa Manispaa alisema , mapatohayo ya ndani yamelenga kutumia katika kupunguza kero za wananchi na kuwekakipaumbele  kwenye utoaji wa huduma za elimu, maji, usafi wa mji ,utawala bora na Miundombinu.

 

Alisema, katika bajeti ya mwaka2018/2019 licha ya kupanga  kukusanya kiasi cha Sh  bilioni5.6, lakini iliweza kukusanya mapato  halisi hadi kufikiaDesemba mwaka jana ( 2018) kiasi cha   Sh bilioni 2.3 sawana asilimia 42.

 

Hata hivyo alisema ,katika mapatoyao, jumla ya kiasi cha Sh bilioni 3.1 zitatumika kwa ajili ya uchangiaji wamiradi ya maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 60 ya makisio.

Naye  Mkurugenzi waManispaa, John Mgalula alisema ,ili kuongeza mapato  yandani  halmashauri imejiwekea mikakati mbalimbali ikiwa kupitia upyamifumo ya usimamizi na ufuatiliaji wa mapato kwa kuboresha maeneo ambayoyanamapungufu .

 

Pia alitaja mikakati mingine nikufanya ukaguzi wa mara kwa mara ili kubaini mianya inayovujisha mapato ,kutumia mifumo ya Ki- Elekroniki katika vyanzo vyote vya mapato ya ndani nakupitia upya sheria ndogo ya halmashauri za mapato ili ziendane na wakati.

 

Nao baadhi ya madiwaniwa  baraza hilo kwa nyakati tofauti wakichangia hoja ya bajeti yaasilimia 60 ya maendeleo walimtaka mkurugenzi wa Manispaa kuhakisha fedhazinazotengwa zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa zikiwemo na fedha zaasilimia 10 ya makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

 

Pamoja na hilo , madiwani haowaliipongeza Serikali ya awamu ya tano kwa kuwezesha kutoa fedha za ujenzi wasoko kuu la Morogoro ambapo tayari ujenzi wake umeanza .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa