• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO KUKUSANYA BILIONI 12.6 MWAKA WA FEDHA 2022/2023.

Posted on: July 19th, 2022

MANISPAA ya Morogoro inategemea kukusanya kiasi cha Shilingi  Bilioni 12.6 katika mwaka wa fedha 2022/2023.

Kauli hiyo imetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, katika Mkutano wa kawaida wa Mwaka wa Baraza la Madiwani uliofanyika  leo Julai 19/2022, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kilakala Soko Kuu la Chifu Kingalu Morogoro.

Mh. Kihanga ,amesema miongoni mwa vipaumbele katika mwaka wa fedha 2022/2023 ni makusanyo ya mapato, elimu, afya, usafi wa mji na utunzaji wa mazingira, utawala bora  na mipango miji.

Kuhusu sekta ya afya, Mhe. Kihanga ,amesema mwaka wa fedha 2022/2023 watajikita katika kumalizia ujenzi wa kituo cha afya cha tungi na kumalizia miundominu ya Zahanati 4 ikiwamo Mji Mkuu, Kauzeni, Mafiga na Kihonda.

Aidha, upande wa sekta ya elimu, amesema Manispaa itajikita kumalizia ujenzi wa Maboma 50 ya madarasa ya Shule za Msingi, kujenga matundu 20 ya vyoo katika Kata ya Mlimani ikiwamo shule ya Msingi Mbete, na Towero, ujenzi wa majengo ya Utawala katika shule za Sekondari 7 (Mbuyuni, Tungi, Mazimbu, Mkundi, Kola Hill, Mafiga na Mwembesongo) na  kuendeleza Ujenzi wa Shule Mpya ya Ghorofa iliyopo Kata ya Boma.

Katika upande wa mapato, amesema Manispaa inampango wa kununua mashine 150 za kukusanyia mapato na karatasi zake ( PoS).

Upande wa Mipango Miji, amesema , Manispaa itaendelea kugharamia fedha kwa ajili ya shughuli za Anwani za Makazi (Postcode),kuungua barabara za Kata na Mitaa kwa kushirikiana na TARURA.

Licha ya utekelezaji huo, Mhe. Kihanga, amesema ,Manispaa itaendelea kutoa mkopo wa asilimia 10 ikiwamo asilimia 4 ya Wanawake, asilimia 4 ya Vijana na asilimia 2 ya watu wenye ulemavu.

Naye Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Morogoro ambaye pia ni Afisa Tawala Wilaya, Hilary Sagara,amelipongeza Baraza la Madiwani pamoja na Menejimenti ya Manispaa kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hususani kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Fikiri Juma, ameipongeza Manispaa ya Morogoro na kuwataka waendelee na umoja na mshikamano ili wafikie mara mbili ya walichokifanya katika mwaka wa fedha 2021/2022.

“SENSA KWA MAENDELEO ,JIANDAE KUHESABIWA TAREHE 23/08/2022”

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa