• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAJIPANGA KUKUSANYA MAPATO YA NDANI YENYE JUMLA YA BILIONI 6.4 MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Posted on: January 17th, 2018

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kukusanya jumla ya Sh bilioni 6.4 kutoka vyanzo vyake vya ndani katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2018/2019 ambapo asilimia 60 ya mapato hayo yakielekezwa kutekeleza miradi ya maendeleo ya wananchi.

Meya wa halmashauri ya Manispaa , Pascal Kihanga alisema hayo ( Jan 15/01/2018) kwenye kikao maalumu cha baraza la madiwani  kupitia na kupitisha bajeti ya fedha kwa mwaka 2018/2019.

Kihanga alisema ,halmashauri inakisia kukusanya na kupokea mapato kiasi cha Sh 74,801,384,234 kutoka kwenye vyanzo vya mapato toka Serikali kuu, wahisani na pamoja na vyanzo vyake vya ndani.

Hata hivyo alisema, bajeti ya mwaka 2018/2019  imelenga katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani na kutumia kupunguza kero za wananchi na kuweka kipaumbele katika utoaji wa huduma za elimu, maji, usafi wa mji, utawala bora , afya na miundombinu.

Kwa mujibu wa Meya ,kiasi cha makusanyo ya fedha kutoka vyanzo vya mapato ya ndani kinachokisiwa kuwa ni Sh 6,473,910,373 ambayo pia ni pungufu la Sh 367,280,668 sawa na asilimia 5.6 ya makadiriko ya mwaka wa fedha wa 2017/2018 ya Sh 6,841,191 , 045 . 05.

Alisema, katika mapato hayo, jumla ya Sh 3,415,109,624 zitatumika kwa ajili ya uchangiaji wa miradi ya maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 60 ya makisio.

Kihanga alitaja kiasi kingine cha Sh 44,232, 000, zitalipa mishahara kwa watumishi wasiopata ruzuku , Sh 2,276,739,749 kwa matumizi mengineyo na Sh 737,829,000 zitatumika katika Vituo vya Afya na Zahanati kupitia Mifuko ya utoaji huduma za afya.

Pia alisema , makisio ya mapato ya miradi ya maendeleo kwa mwaka 2018/2019 , halmashauri  inakisia kupokea ruzuku kutoka serikali kuu na wahisani mbalimbali kiasi cha Sh 16,279,095,274 .Katika kiasi hicho, Serikali kuu inatarajia kutoa Sh 5,740,294,000 wakati wahisani wa maendeleo (ULGSP) kutarajiwa kutoa kiasi cha Sh 10,538, 538,801,274.

Naye Mbunge wa Jimbo la Morogoro mjini, Abulaziz Abood pamoja na kupitishwa kwa bajeti hiyo aliwataka watendaji wa halmashauri na madiwani wote kuwa na ushirikiano wa pamoja katika kusimamia utekelezaji wa miradi na malengo yaliyowekwa ili kuboresha huduma za wananchi.

Kwa upande wake , Diwani wa Kata ya Bigwa, Zamoyoni Abdallah aliwashauri madiwani wenzake kuwahamasisha wananchi kwenye kata zao hasa wanawake na vijana ili washiriki kuanzisha vikundi vya ujasiriamali wa viwanda vidogo waweze kunufaika na mikopo inayotolewa kwa ajili ya kuinua mitaji na kuwaondolea umaskini wa vipato.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa