• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAPOKEA BILIONI 1.4 MRADI WA BOOST KUTOKA SERIKALI KUU.

Posted on: May 20th, 2023

MANISPAA ya Morogoro imepokea kiasi cha Bilioni 1,401,200,000.00 kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kutoka Serikali Kuu kupitia mradi wa BOOST kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali katika shule kumi (10) za Msingi.

Akizungumza mara baada ya kupokea fedha hizo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, amesema , Boost ni sehemu ya Mpango wa Lipa kulingana na Matokeo katika elimu awamu ya pili (EPforRII) na inachangia utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Sekta ya Elimu wa miaka mitano 2020/2021 hadi 2025/2026.

"Tunaishukuru Serikali chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupokea kiasi hiki kikubwa cha fedha, mradi huu wa Boost utasaidia katika ujenzi wa miundombinu kama vile madarasa na vyoo pamoja na kutoa mafunzo kwa walimu ili kuwaongezea uwezo wa ufundishaji na ujifunzaji katika shule zao pamoja na kuboresha upatikanaji fursa sawa katika ujifunzaji bora wa Elimu ya Awali na Msingi." Amesema Machela.

Miongoni mwa shule zinazonufaika na mradi wa Boost ni Shule ya Msingi Muungano Kata ya Mafisa ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa yenye thamani ya milioni 66,000,000.00 na , shilingi milioni 5,400,000.00 ujenzi wa matundu 3 ya vyoo, Shule ya Msingi Nanenane Kata ya Tungi ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa yenye thamani ya milioni 66,000,000.00 na shilingi milioni 5,400,000.00 ujenzi wa matundu 3 ya vyoo, Shule ya Msingi Mgolole ujenzi wa madarasa 2 milioni 60,800,000.00, Shule ya Msingi Mazimbu A darasa 1 milioni 22,000,000.00 na matundu 3 ya vyoo milioni 5,400,000.00, Shule ya Msingi Kingolwira vyumba 3 vya madarasa milioni 66,000,000.00 na matundu 3 ya vyoo milioni 5,4000,000.00, Shule Msingi Kilongo Mkundi madarasa 3 milioni 66,000,000.00 na matundu 3 ya vyoo milioni 5,4000,000.00,Shule Msingi Kambarage Chamwino madarasa 2 milioni 44,000,000.00 na matundu 3 ya vyoo milioni 5,4000,000.00, Shule Msingi Jitegemee Chamwino ujenzi wa shule mpya milioni 475,300,000.00, Shule Msigi Bungo Boma darasa 1 milioni 22,000,000.00 na matundu 3 ya vyoo milioni 5,4000,000.00, pamoja na Shule Msingi Kihonda Maghorofani ujenzi wa shule mpya milioni 475,300,000.00.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa