• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • TEHAMA
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAPOKEA SHILINGI MILIONI 620,014,716 FEDHA ZA RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU

Posted on: May 8th, 2023

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imepokea Ruzuku kutoka serikali kuu jumla ya shilingi 620,014,716.00 kwa mwezi April 2023.

Akizungumza Juu ya mapokezi hayo ya fedha hizo za Ruzuku, Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Ally Machela, ameishukuru Serikali kwa kuipatia Manispaa fedha za Ruzuku na kuahidi kuzitumia kwa matumizi yaliyokusudiwa.

Machela amefafanua mchanganuo wa fedha hizo kama ifuatavyo ambapo Tsh.40,736,000.00 kwa matumizi ya kawaida,Tsh 133,038,074.00 kwa matumizi ya Elimu bila malipo Sekondari, Tsh 86,901,203.00 kwa matumizi ya Elimu bila malipo ya Msingi,Tsh.119,770,000.00 kwa matumizi ya Mitihani ya kidato cha sita,Tsh.128,319,439.00 kwa matumizi ya Basket fund robo ya tatu,Tsh.81,250,000.00 kwa matumizi ya Ujenzi wa madarasa shule za msingi na Tsh,30,000,000.00 kwa matumizi ya Ujenzi wa uzio shule maalum.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2023 May 12, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • RC MWASSA AITAKA JAMII KUJENGA MIFUMO BORA YA MALEZI.

    May 16, 2023
  • MWENGE WA UHURU WAPITISHA KWA KISHINDO MIRADI YA MANISPAA MOROGORO

    May 13, 2023
  • PAZIA LA MASHINDANO YA UMISSETA MANISPAA YA MOROGORO LAZINDULIWA MEI 11/2023

    May 11, 2023
  • MANISPAA YA MOROGORO YAZINDUA MASHINDANO UMITASHUMTA

    May 10, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa