• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAWAPONGEZA WADAU WANAOJITOA KUSAIDIA VITUO VYA WATOTO YATIMA

Posted on: September 28th, 2020

HALMASHAURI yaManispaa ya Morogoro imewapongeza wadau mbalimbali wanaoendelea kusaidia Vituo vya Watoto yatima katika kuhakikisha wanapata huduma stahiki.

Kauli hiyo imetolewana Afisa Maendeleo ya Jamii, Mwanitu Sembogo, akimwakilisha Mkurugenzi waManispaa  ya Morogoro katika sherehe iliyoandaliwa na Makao ya kuleleaWatoto ya Mgolole  ya kumkumbuka Mtakatifu Vicent kwa ajili ya matendoyake aliyokuwa akiyafanya katika kuwasaidia Watoto yatima,  Wazee na watuwasiojiweza wenye mahitaji maalumu.

Akizungumza naWaandishi wa habari, Sembogo, ameiomba jamii kuendelea kuelekeza macho katikakusaidia Vituo kama hivyo ili kuvipa uwezo wa kulea Watoto na kupunguza Watotowanaoteseka kwa kukosa msaada. 

"Tunashukuru sana Uongozi wa Mgolole kwa hatua mliyofikia licha ya kuwepo kwachangamoto zinazowakabili lakini kiukweli mmekuwa msaada mkubwa sana kwa jamii, mnatusaidia sana Serikali katika kupunuza wimbi la Watoto mitaani, lakini hiimisaada yote mnayoiona leo hapa kutoka kwa wadau mbalimbali wanatoa  iliwatoto hawa nao wajione kama sehemu ya jamii na waweze kutimiza ndoto zaoikiwemo za kupata elimu bila vikwazo pamoja na kusihi kwa matumaini kamawanavyoishi watoto wengine mitaani wakiwa na Wazazi na walezi wao, niwaombewadau tuendelee kumulika kwa jicho pana Vituo vyetu hivi ili tuzuie wimbi laWatoto mitaani "Amesema Sembogo.

Amesema  kuwani vema  wanajamii wakaendelea kujitolea kwa watoto kama hao ambaowanahitaji msaada wakati wote ukizingatia kuwa hawana wazazi isipokuwa wazaziwao ni jamii inayowazunguka.

Aidha, amesemaManispaa ya Morogoro  itaendelea kutoa ushirikiano na Vituo vya kulelea Watotoyatima katika kuhakikisha kwamba Watoto hao wanapatiwa huduma nzuri hukuakitoa  pongezikwa mlezi wa kituo hicho na kumshukuru  kwa juhudi anazozifanya  kuhakikisha watoto wanapata mahitaji yao na malezi kwa ujumla.

Mwishoamesema ni vizuri  kwa  jamii ikajiwekea utaratibu kuwafikia watotohao na wengine wenye hali kama hii na kuwasaidia kwa kadiri itakavyowezakanaili nao hapo baadae waweze kushiriki katika ujenzi wa Taifa katika sektambalimbali kama watumishi na wataalamu.

Naye Mkuu wa Kituo cha Watoto yatima Mgolole, Bi. Maria EvaristaBunga, amewashukuru wageni wote  kwa ujio huo  na kwa vitu ambavyowamevitoa  kwa watoto hao  ambao ni yatima ambao wanahitajikufarijiwa.

"Hakika  mmesaidia kwa mchango mkubwa na niwakaribishe mara kwa mara kuja kuwatembelea na kuona maendeleo yawatoto hawa.""Amesema Bi. Bunga. 

Katika hatua nyengine, mmoja wa wananchi waliofika katikaSherehe hiyo, Marco Kanga, ameshauri kuwa katika kuhakikisha  watoto haowanakuwa na afya nzuri ni vyema Serikali na wadau wengine wakachukua jitihadaza makusudi za kuwakatia Watoto hao bima ili ziweze kuwasaidia kupata matibabu.

Mgolole ni miongoni mwa Vituo vya Kulelea Watoto yatima ambapokilianzishwa mwaka 1937 na Baba Askofu Bernard Hilhorst Holanzi ambaye ndiyealikuwa Askofu wa Jimbo la Katoliki la Morogoro na mwakilishi wa Shirika laMasista wa Moyo safi wa Maria wea Morogoro ambao ndio walezi wakuu wa Watotoyatima.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa