• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAWEZESHA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

Posted on: March 12th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro katika kipindi cha mwaka 2017/2018 imetoa mkopo wa kiasi cha shilingi milioni 113,500,000.000 kwa vikundi 70 vya wanawake kwa lengo la kuwawezesha kiuchumi.

Mkopo huo ulitolewa kwa lengo la kuwaongezea mtaji wajasiriamali ili kuweza kukuza biashara zao na kuzalisha kwa wingi na hatimaye kuendana na Agizo la Mh.Rais Dkt.Magufuli la kuwa na Tanzania ya viwanda katika kukuza uchumi wa Taifa.

Hayo yaliainishwa  na Afisa Maendeleo na Ustawi wa Jamii,Enedy Mwanakatwe katika maadhimisho ya  siku ya wanawake duniani yaliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Kiwanja cha Ndege.

Mwanakatwe alisema kuwa halmashauri inaendelea kuwajengea vijana uwezo wa kujitambua,kuwa wabunifu na kuanzisha viwanda vidogo vidogo,lengo ni kuhakikisha kila kijana anajituma kuzalisha na kuepuka kukaa vijiweni.

“Vikundi 34 vya vijana vimepitishwa na mabaraza ya maendeleo ya kata kwa ajili ya kupewa mikopo mwezi Aprili,2018 na tunarajia kuwapa kiasi cha shilingi milioni 102,000,00.00.”Alisema Mwanakatwe.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini,Aziz Abood alisema kuwa ni wakati sasa wanawake kutumia fursa zilizopo katika jamii na kuweza kuzalisha na kuondokana na hali ya kuwa tegemezi ndani ya familia zao.

Abood alisema ndani ya manispaa ya Morogoro kuna vikundi vingi vya ujasiriamali hivyo kila mwanamke kuhakikisha anajiunga katika kikundi kimojawapo ili kuweza kusonga mbele,kwani hakuna mtu anaweza kufanikiwa bila kuwa na ushirikiano na wenzake.

“Naomba sana wanawake tujiunge katika vikoba,tushiriki mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali ili tuweze kuzalisha wenyewe katika viwanda vidogo vidogo na kuendana na kasi ya sera ya Tanzania ya viwanda.”Alisema Abood.

Alisema kuwa ataendelea kushirikiana na halmashauri ya manispaa ya Morogoro kuhakikisha vikundi vyote vilivyosajiliwa na kutambulika vinasonga mbele na kuweza kupatiwa fedha za kuendesha kikundi hicho.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Morogoro,Regina Chonjo aliwataka wanawake kuwa mstari wa mbele kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa ndani ya jamii ili kuweza kutokomeza janga hilo.

Chonjo alisema kuwa wanawake ndio tegemezi katika sakata zima la uzalishaji ndani ya familia,hivyo hatuwezi kufikia Tanzania ya viwanda kama mwanamke ataendelea kunyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa