• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAZINDUA MASHINDANO UMITASHUMTA

Posted on: May 10th, 2023

MANISPAA ya Morogoro imezindua rasmi mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA).

Uzinduzi huo umefanyika Mei 10/2023 kwenye viwanja vya shule ya Morogoro Sekondari Kata ya Boma kwa kuwashirikisha wanamichezo kutoka shule zote za Msingi ndani ya Manispaa hiyo zilizogawanywa kikanda, Kanda ya Mashariki, Magharibi, Kusini na Kaskazini na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya michezo pamoja na walimu kutoka shule hizo.

Akifungua mashindano hayo , Afisa Elimu Taaluma Msingi Manispaa ya Morogoro, Bi. Aneth Fundi, akimwakilisha Mkurugenzi wa manispaa ya Morogoro, amesema kuwa lengo kubwa la mashindano hayo ni kuunda timu kubwa ya Halmashauri itakayowezesha kuleta ushindani pamoja na kuibua vipaji vya watoto Shuleni.

“leo ndio tunafungua rasmi mashindano haya na lengo kubwa la mashindano hayo ni kuunda timu kubwa na bora katika Halmashauri yetu kwenye michezo yote kwahiyo ombi langu kwenu, kila mmoja ashiriki kikamilifu katika eneo alilopangiwa ili tuweze kupata timu bora ya Manispaa ambayo itaenda kutuwakilisha vizuri kwenye mashindano ya Mkoa, hivyo amewaomba Vijana kucheza kwa upando kwani michezo ni afya na ni ajira pia" Amesema Bi. Aneth.

Aidha,Bi. Aneth, amewaasa walimu waliopewa dhamana ya kuunda timu ya Manispaa kuacha kuchagua wanamichezo kwa upendeleo.

“Niwasihi walimu mliopewa dhamana ya kuunda timu ya Manispaa kuacha tabia ya kuchukua wanamichezo kwa upendeleo, undeni timu kadri mwanafunzi mwenyewe anavyoonesha kipaji chake katika michezo, ili tupate timu imara katika fani zote na tuweze kushiriki kimkoa na hata kitaifa” Ameongeza Bi. Aneth.

Pia wanamichezo hao ambao ni wanafunzi kutoka shule mbalimbali za Msingi ndani ya Manispaa hiyo wametakiwa kuhakikisha kwamba wanakuwa na nidhamu na kujituma katika eneo walilopangiwa katika kipindi chote cha michuano hiyo ili wawe miongoni mwa watakao unda timu ya Manispaa badae kimkoa na kufika kitaifa.

Kwa upande wa Afisa Michezo Manispaa ya Morogoro, Asteria Mwang'ombe, amewataka Waalimu wa michezo Manispaa ya Morogoro kutumia michezo ya UMITASHUMTA kuibua vipaji kupitia hazina ya Vijana wadogo waliopo katika shule za Msingi wenye uwezo mkubwa katika michezo mbalimbali.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa