• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MBUNGE ABOOD AKABIDHI VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA MILIONI 28 KWA ZAHANATI 5 NA KITUO CHA AFYA 1 MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: May 8th, 2024

MBUNGE wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mhe. Abdulaaziz Abood, amekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 28 kwa Zahanati 5 na Kituo cha Afya kimoja Manispaa ya Morogoro kupitia fedha zake binafsi na fedha za Mfuko wa Jimbo.

Ugawaji waVifaaTiba umefanyika Mei 08-2024 kwenye Zahanati 5 na Kituo cha Afya 1 ikiwemo Zahanati yaTowero na Mbete zote zikiwa Kata ya Mlimani , Zahanati ya Uwanja waTaifa, Zahanati ya Konga Kata ya Mzinga, Zahanati ya Kibwe Kata ya Boma na Kituo cha Afya Sina Kata ya Mafisa.

Miongoni mwaVifaaTiba vilivyotolewa katika Zahanati hizo, ni Darubini 5 (Microscope), Kifaa cha kutenganisha selamu na seli za damu( CentrifugeMashine 5), Kifaa cha kupimia sukari ( Glucopus ) 5, Kitanda cha kumuangalia mgonjwa (Examination bed 2)’.

Mhe. Abood, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. SamiaSuluhu Hassan kwa kuhakikisha wanawake wa Jimbo la Morogoro Mjini, wanajifungua kwenye mazingira salama.

Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga,amemshukuru Mbunge Abood, kwa Mchango wake hususani kwenye sekta ya afya huku akieleza kuwa Vifaa vyote tiba ambavyo wamevipokea vitakwenda kufanya kazi kama ilivyokusudiwa pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi na kuahidi kuvitunza vifaa hivyo ili viweze kukidhi mahitaji ya wananchi.

Naye Katibu wa Mfuko wa Jimbo la Morogoro Mjini, Elizabeth Badi, kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro amesema kuwa Manispaa itaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali pamoja na Ofisi ya Mbunge katika kuboresha maisha ya wananchi kwa kutoa elimu kwa jamii kuhusu afya kwa kutumia vikundi mbalimbali vya sauti za umma, kuwapa semina wataalamu wa afya na kutoa vifaa kwaajili ya Zahanati zote na kuboresha huduma za elimu shuleni.

Katika hatua nyingine licha ya kugawa vifaa tiba lakini amegawa jumla ya madawati 310 Shule ya Sekondari Mazimbu Mei 10-2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa