• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MHE. MABULA APIGA MARUFUKU WATENDAJI WA KATA, MITAA , NA WENYEVITI KUJIHUSISHA NA UUZAJI WA VIWANJA NA ARDHI KATIKA MAENEO YAO

Posted on: July 15th, 2021

Naibu Waziri wa ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angeline Mabula, amepiga marufuku watendaji wa Kata, Mitaa na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kujihusha na uuzaji wa Viwanja na ardhi katika maeneo yao.

Kauli hiyo, ameitoa wakati wa Mkutano wa hadhara wa kusikiliza na kutatua kero za migogoro ya ardhi Julai 13/2021 Mkoa wa Morogoro katika eneo la Stendi ya Dalala Mafiga Manispaa ya Morogoro .

Mhe. Mabula, amesema migogoro mingi ya ardhi inakuja kugundulika kuwa hata watendaji wa serikali wanahusika kutokana na kuwa mashahidi wa wanao nunua ardhi hivyo kufanya  migogoro ya ardhi kuendelea kuongezeka.

Amesema watendaji wa kata na Mitaa wanatakiwa kutatua kero za wananchi kwa kufanya mikutano ya hadhara katika Kata na Mitaa yao kwani watendaji wa Kata ndio walinzi wa amani katika kata zao.

“ Ni marufuku watendaji wa Kata na Mitaa katika Manispaa kujihusisha na uuzwaji wa viwanja katika maeneo yenu au kuwa mashahidi ili kuepuka migogoro ya ardhi katika maeneo yenu.”Amesem Mhe. Mabula

“ Migogoro mingi inaweza kutatuliwa ngazi ya Kata ila kwakuwa hamtimizi majukumu yenu na kukwepa majukumu mnawaandikia wananchi barua na kuwaambia waende ngazi ya Manispaa na Wilaya wakati uwezo wa kutatua migogoro kwa ngazi ya Kata mnayo, nataka kila mmoja atimize wajibu wake" Ameongeza Mhe. Mabula

Aidha, amewataka watumishi wote ngazi ya kata kuwa na mipango kazi inayotekelezeka na kufanya tathmini ya kazi zao ili kuweza kujipima.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA MOROGORO May 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWAN TAREHE 19.08.2021 August 18, 2021
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ATOA NENO KUHUSU UTAPIAMLO.

    August 05, 2022
  • MANISPAA MORO YAOMBA USHIRIKIANO NA TIC KUTANGAZA MAENEO YAKE YA UWEKEZAJI

    August 03, 2022
  • MAONESHOYA NANENANE KANDA YA MASHARIKI YAANZA KWA KASI MKOA WA MOROGORO

    August 01, 2022
  • LUKWELE APITA KWA KISHINDO UCHAGUZI NAIBU MEYA MANISPAA YA MOROGORO

    July 20, 2022
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa