• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MKURUGENZI APIGA MARUFUKU WAFANYABIASHARA KUPANGA BIDHAA CHINI.

Posted on: April 11th, 2020

MKURUGENZI Manispaa ya Morogoro, Sheilla lukuba,amepiga marufuku biashara  kupangwa chini hususani bidhaa za vyakula.

Agizo hilo amelitoa  Aprili 11,2020 kufuatia agizo la Mkuu wa Wilaya ya Morogoro,Mhe. Regina Chonjo la kutaka bidhaa zinazouzwa masokoni zisimwagwe chini.

Akizungumza na Waandishi wa habari, amesema kumekuwa na wimbi la Wafanyabiashara ambao sio Wastarabu wanaosambaza bidhaa za vyakula chini jambo ambalo sio zuri kwa afya ya mlaji na wanunuzi.

Amesema kuanzia Leo, bidhaa zote pamoja na za vyakula viwekwe juu ya meza. .

"Kuanzia leo ni marufuku bidhaa za vyakula kumwagwa chini,tunataka bidhaa zote katika masoko ziwekwe mezani, kuwekwa chini kuna uchafu wa maji machafu yanayotiririka ambayo yakigusa vyakula vijidudu vyote vinaingia humo na kumsababishia mlaji kupata magonjwa ya kuhara, ukizingatia kipindi hiki cha janga la Ugonjwa wa CORONA lakini yale magari yanayoingia Sokoni yanoyoleta viazi yaishie Nanenane na wauze kwa jumla , ili mkileta huku muwe na utaratibu maalumu, naondoka nikirudi nikakuta bado bidhaa za vyakula vipo chini naita  Greda tunakwenda kuvimwaga dampo" Amesema Sheilla.


Katika hatua nyingine, ameitaka minada yote iliyopo Manispaa Morogoro kuweka ndoo pamoja na sabuni kwa ajili ya kunawia mikono na wakishindwa minada yote yani Kikundi pamoja na Sabasaba itawekwa siku moja.


"Mkuu Wa Wilaya, alishatoa maelekezo , sasa mimi kazi yangu ni kusimamia kama maagizo yametekelezwa,  kikubwa zaidi katika Minada yote hakikisheni ndoo za kunawia Maji zinakuwa za kutosha na kuziweka kila kona ya kuingilia katika minada, pili ni lazima katika biashara zenu muachiane nafasi msirundikane lengo letu ni kuwakinga nyinyi pamoja na wateja wenu katika janga hili la Ugonjwa wa CORONA. " Ameongeza Sheilla.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa