• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MKURUGENZI MANISPAA AONGOZA ZOEZI LA UJIANDIKISHAJI WANANCHI KWENYE DAFTARI LA MPIGA KURA.

Posted on: October 8th, 2019

Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Sheilla Lukuba aongoza zoezi la uandikishaji wananchi katika daftari la wapiga kura  kwa kujiandikisha katika mtaa anaoishi wa Nguzo ikiwa ni ishara ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi ili kuweza kuchagua viongozi bora watakaoleta maendeleo.

Mkurugenzi Lukuba ameeleza kuwa yeye ameamua kujiandisha katika mtaa wake ili kuhamasisha jamii kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uandikishaji lililopangwa kufanyika nchi nzima kuanzia tarehe 8-14/10/2019.

Aidha Mkurugenzi Lukuba ameeleza ni vyema wananchi wakajitokeza kwa wingi katika zoezi hili la uandikishaji ili waweze kuja kuchagua viongozi ambao watawasemea na kuwasaidia katika maendeleo ya mitaa yao husika.

Nawasihi pia watumishi  wa taasisi mbalimbali kujitokeza kwa wingi hasa siku za mwishoni mwa wiki ambazo ni za mapumziko kujitokeza katika mitaa yao husika kujiandikisha ili kuweza kushiriki katika kuwachagua viongozi waliobora,"Alisema Lukuba"

Pia ametoa wito kwa wananchi kuwa itapofika kipindi cha kampeni ,kujitokeza kusikiliza kwa umakini na kuamua kuchagua viongozi ambao wataleta maendeleo katika mitaa yao.

Naye msimamizi wa uchaguzi Manispaa ya Morogoro Waziri Kombo ameeleza kuwa muitikio wa wananchi umekuwa mzuri toka zoezi lilipoanza na kuendelea kutoa wito kwa wananchi kuendelea kujitokeza kwa wingi.

Kombo ameeleza kuwa Manispaa ya Morogoro itafanya uchaguzi katika mitaa 294,na inatarajia kuandikisha wapiga kura 177,000,na alibainisha sifa za mwananchi kuandikishwa ni ni kuwa raia wa Tanzania,mwenye umri wa miaka 18 au zaidi,awe hana ugonjwa wa akili na atatakiwa kujiandikisha katika mtaa husika anaoishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa