• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO ATAKA JAMII ISHIRIKI KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU

Posted on: July 8th, 2020

MKURUGENZI wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, ameitaka jamii ya Manispaa ya Morogoro kushiriki kwa vitendo katika ujenzi wa miundo mbinu ya elimu ili jamii iondokane na ujinga na kupata mafanikio ya haraka .

Kauli hiyo, ameitoa leo Julai 08,2020 , wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Madarasa 2 pamoja na Jengo la Ofisi ya waalimu katika Shule ya Sekondari SUA Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza na Waandishi wa habari, Lukuba, amesema ziara ya leo ni kukagua na kuangalia maendeleo ya Ujenzi wa Madarasa 2 na Jengo la Utawala ambapo Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Loata Sanare, alitoa maagizo juu ya Ujenzi huo baada ya vuta ni kuvute baina ya Kata mbili kufuatia kile kilichodaiwa ni mgogoro wa kimipaka.

Lukuba, katika ziara hiyo amewasisitizia mafundi kwenda na kasi kubwa ili wanafunzi waanze kuyatumia madarasa hayo katika kupunguza msongamano darasani.

‘’ifike wakati sisi jamii ndio tuwe wa kwanza kuanzisha miradi kisha ndio serikali iwekeze nguvu zake, nimekuja kuona maagizo ya Mkuu wa Mkoa yanatekelezwaje, lakini na mwagiza Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro aongeze kasi ya kuwasismamia mafundi, wanafunzi wetu wana uhaba wa madarasa hatutaki mrundikano, tunataka yakamilike wanfunzi wasome katika mazingira ya kuachiana nafasi na Waalimu wetu wakae katika Ofisi nzuri na rafiki ili kuongeza kasi ya ufaulu, ukiwa katika mazingira mabaya hata ile hali ya ufundishaji inashuka, kazi nimeiona inaendelea lakini ongezeni kasi tumalize kazi mapema" Amesema Lukuba.

Lukuba, amesema kuwa Jamii inaposhiriki ipasavyo kwa vitendo katika ujenzi wa miundo mbinu ya elimu huwa chachu ya kupata kilicho bora kabisa maana jamii huwa na uchungu nacho kutokana kuwekeza nguvu zao na huwa walinzi wakubwa.

‘’Nawagiza watendaji wa vijiji na kata kwa wale wote watakao taka kujitolea katika ujenzi huu wa taifa katika vijiji na kata ambapo miradi hiyo inafanyika fuateni sheria ndogo za vijiji zilizotungwa katika jamii zetu kwa weledi kabisa ili kufikia malengo ya mradi kwa jamii kushiriki sawa’’ Ameongeza Lukuba.

Mwisho ametoa wito kwa wananchi wote wa Manispaa ya Morogoro kuwa tayari kujitolea kwa hiari katika miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa