• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MKUU WA MKOA WA MOROGORO AMWAGIZA MKURUGENZI WA MANISPAA KUJENGA SHULE MPYA TANO ZA MSINGI ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WANAFUNZI.

Posted on: January 25th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dr.Kebwe Stephen amemtaka Mkurungezi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro John Mgalula, kuweka mkakati wa haraka na kuanza mara moja kujenga shule mpya tano za msingi, ili kupunguza msongamanouliopo, ambapo baadhi ya shule zina wanafunzi zaidi ya 2000 na bado kunauhitaji mkubwa wa vyumba vya madarasa. 

Dr Kebwe ametoa agizo hilo katika mkutano wake na walimu wakuu washule za Msingi na sekondari,maafisa elimu Kata,na wadau wa elimu manispaa yaMorogoro, ambapo amesema kulingana na ongezeko hilo la wanafunzi, hakuna sababuya kuongeza vyumba vya madarasa, bali ni kujenga shule nyingine tano, ambazozitasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi. 

Mkuu huyo wa Mkoa, amesema kwa sasa Manispaa ya Morogoro ina jumlaya wanafunzi 56,755 ambao wanahitaji vyumba vya madarasa 1,252 lakini vilivyoponi 620 hivyo kupelekea kuwa na upungufu wa vyumba vya madarasa 632.

 Kwa upande wake Afisa elimu msingi Manispaa ya Morogoro Bw. AbdulBuhety amesema endapo maagizo ya Mkuu wa Mkoa yatafanyiwa kazi, basi kunauwezekano mkubwa wa kupunguza msongamano wa wanafunzi mashuleni kutokana nauchache wa vyumba vya madarasa, kwani kuna baadhi ya shule zina zaidi yawanafunzi 2000, hivyo endapo kutaongezwa kwa shule  hizo tano, kutasaidiakuondokana na tatizo hilo.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa Dr Kebwe Stephen, amewatakawakuu wa Shule Msingi na Sekondari pamoja na viongozi wengine wa Elimu Mkoanihapa,kuhakikisha wanazingatia waraka namba sita wa Mwaka 2016, unaotoa Mwongozowa elimu bure, ili kuepukana na uendeshaji wa michango mashuleni ulio kinyumena waraka huo. 

 Aidha mkuu wa mkoa amewatahadharisha viongozi wenye dhamanaya elimu kuzingatia waraka namba sita wa mwaka 2016 unao toa mwongozo wa elimubure ili kuepuka uendeshaji wa michango mashuleni ulio kinyume na waraka huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa