• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO ATOA RASMI MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

Posted on: September 26th, 2024

Msimamizi wa uchaguzi Manispaa ya Morogoro,ambaye pia ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Emmanuel Mkongo,  ametoa maelekezo  ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, Mwaka 2024.

Maelekezo hayo ya uchaguzi ameyatoa Septemba 26-2024 kwenye Ukumbi wa Mikutano Ofisi Kuu ya Manispaa ya Morogoro katika Mkutano wa wadau wa uchaguzi wakiwemo viongozi wa Vyama vya Siasa.

Mkongo, ameeleza,Uchaguzi  wa Serikali za mitaa utafanyika tarehe 27 Novemba 2024 na Uandikishaji utaanza tarehe 11 hadi 20 Octoba 2024 katika Mitaa 294 na Kata 29 ndani ya Manispaa ya Morogoro ambapo Vituo  vya kuandikisha wapiga kura vitafunguliwa kuazia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Aidha,Mkongo, amewasisitiza wakazi wote wa Manispaa ya Morogoro , wenye sifa ya kupiga kura kujiandikisha ili kushiriki uchaguzi huo wa Serikali za Mitaa Novemba 27-2024.

Pia ametoa wito kwa wakazi wa Manispaa ya Morogoro  wenye Umri wa Miaka 21 au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mitaa na ujumbe  kuchukua fomu za kugombea zitakazo patikana kwenye ofisi ya msimamizi msaidizi wa uchaguzi kwenye Mitaa yao.

Hata hivyo,amesema kuwa fomu za maombi ya kugombea Uenyekiti wa Mitaa na wajumbe zitachukuliwa tarehe 1 hadi 7 Novemba 2024  saa 1:30 asubuhi  ambapo mwisho wa kupokea fomu ni saa 10:00 kamili jioni huku Fomu hizo zikitolewa  kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi. 

"Uchaguzi wetu utakuwa huru na haki, kanuni zote za uchaguzi zitafuatwa, na majina ya wagombe yatabandikwe kwenye ubao wa matangazo katika Ofisi zao za Mitaa, nitoe rai kwa wananchi wote wenye sifa za kugombea wachukue fomu ili mradi uwe mtanzania,miaka 21 na kuendelea,uwe na akili timamu,ujue kusoma vizuri na kuandika lugha ya kiswali au kingereza na uwe mwanachama wa chama chochote cha siasa" Amesema Mkongo.


Mikutano ya Kampeni itafanyika kwa  siku 7 kuanzia  tarehe  20 hadi 26  Novemba 2024  ambapo itaanza saa 2:00 asubuhi na kumalizika saa 12:00  jioni ya kila siku ya Kampeni.

Mkongo,amehitimisha kwa kutoa wito Wananchi  wa Manispaa ya Morogoro kutumia haki yao ya msingi ya kupiga kura kwa amani kulingani na kanuni ya 35(6)mtu yeyote hataruhusiwa kubaki eneo la kupiga kura baada ya kupiga kura.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa