• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.3 WILAYA YA MOROGORO

Posted on: August 11th, 2021

Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa  2021umetembelea miradi 7 yenye thamani  ya Tsh 1.355,918,110.96 katikaWilayayaMorogoro.

Katika miradi hiyo ambapo mradi wa 1 kati ya hiyo wenye thamani ya Tshs. 648,175,470.96 umefunguliwa, miradi 2 yenye thamani ya Tshs. 156,418,940.00 imewekewa mawe ya msingi ,miradi 3 yenye thamani ya Tshs. 81,123,700 imekaguliwa na kuonwa na mradi 1wenye thamani ya Tshs. 470,200,000.00 umezinduliwa ambapo kati ya fedha hizo , Serikali Kuu imechangia Tshs.1,080,093,900 Halmashauri Tshs. 207,987,990.96, Wahisani Tshs. 2,000,000.00 na wananchi Tshs. 26,829,340.00.

Miongoni mwa miradi hiyo iliyotembelewa na Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2021 Wilaya ya Morogoro ni pamoja na Mradi wa Kitega Uchumi Mbadaraka Mwinshehe (DDC), Ujenzi wa Mtaro wa kumwaga Maji machafu Mjini Kati, UjenziwaVyumba 4 vya Darasa Shule Mpya ya Sekondari Mazimbu, Mradi wa ushonaji wa Viatu Tungi Youth Initiatives Nanenane, Mradi wa Maji RUWASA Mikese, Kituo Jumuishi cha huduma za pamoja (One Stop Centre Mafiga ), na Kiwanda cha Usindikaji Maziwa Mtego wa Simba.

Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2021 ,umeongozwa na Kiongozi wa Mbio hizo Luteni Josephine Paul Mwambashi pamoja na wakimbiza mwenge wenzake.

Ikumbukwe kuwa Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 katika Wilaya ya Morogoro, ulitembelea jumla ya miradi 11 yenye thamani ya Tshs. 52,006,789,825 ambapo mradi 1 kati ya hiyo wenye thamani ya Tshs.154,350,680 ulifunguliwa, na miradi 4 yenye thamani ya Tshs.48,379,104,551.22 ilikaguliwa na kuonwa na miradi 4 yenye thamani ya Tshs. 3,067,670,594.00 ilizinduliwa na miradi 2 yenye thamani ya Tshs 405, 664,000 iliwekewa Mawe ya Msingi ambapo kati ya fedha hizo za miradi iliyotembelewa , Serikali Kuu ilichangia Tshs. 10,558,831,434.62, Halmashauri Tshs. 665,278,280, wananchi Tshs.15,184,000.00 na wahisani Tshs.40,767,496,111.00 miradi yote 11 iliyopitiwa na Mbio za Mwenge inaendelea vizuri katika kutoa huduma.

Ujumbe wa Mwenge wa uhuru wa mwaka 2021 ‘TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Itumie kwa usahihi na Uwajibikaji’.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA MOROGORO May 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWAN TAREHE 19.08.2021 August 18, 2021
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ATOA NENO KUHUSU UTAPIAMLO.

    August 05, 2022
  • MANISPAA MORO YAOMBA USHIRIKIANO NA TIC KUTANGAZA MAENEO YAKE YA UWEKEZAJI

    August 03, 2022
  • MAONESHOYA NANENANE KANDA YA MASHARIKI YAANZA KWA KASI MKOA WA MOROGORO

    August 01, 2022
  • LUKWELE APITA KWA KISHINDO UCHAGUZI NAIBU MEYA MANISPAA YA MOROGORO

    July 20, 2022
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa