• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

NAIBU MEYA MANISPAA YA MOROGORO MHE. CHOMOKA AAHIDI USHIRIKIANO .

Posted on: August 15th, 2024

MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro wamemthibitisha Naibu Meya wa Manispaa hiyo, Mhe.Seif Zahoro Chomoka , aliyeshinda kwa kishindo kwa kupata kura zote baada ya Baraza hilo kumthibitisha.

Uthibitishaji huo wa Naibu Meya pamoja na uchaguzi wa wenyeviti wa kamati mbalimbali umefanyika katika Ukumbi wa Manispaa Agosti 15-2024 katika Baraza  la Madiwani la kukamilisha mwaka wa fedha 2023-2024.

Akizungumza mara baada ya uthibitisho wa kuwa Naibu Meya , Mhe. Seif Chomoka, amelipongeza na kulishukuru Baraza kwa kumthibitisha pamoja na kuwapongeza Wenyeviti wa Kamati zote waliopita kwa kishindo katika kinyanganyiro hicho ambapo Kamati ya Huduma za Uchumi,Elim una Afya alichaguliwa Mhe. Majuto Mbuguyu, na Kamati ya Mipango Miji na Mazingira alichaguliwa Mhe. Amini Tunda huku Kamati ya Maadili kwa Madiwani ikichukuliwa na Mhe. Thomas Butabile na Kamati ya Kudhibiti Ukimwi itaongozwa na Naibu Meya kwa mujibu wa muongozo.

Mhe. Chomoka, amelishukuru Baraza la Madiwani kwa kuonesha imani nae, ambapo amewaahidi madiwani wa Halmashauri hiyo kuwapa ushirikiano na kutetea maslahi ya Madiwani wote pamoja na wananchi kwa ujumla.

Aidha, Mhe. Chomoka,amesema atafanya nao kazi Madiwani wote kwa ushirikiano bila kuweka matabaka katika kufanya kazi za chama na Serikali na kuakikisha Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inasonga mbele katika makusanyo ya Mapato na miradi ya Serikali na kutimiza adhima yake ya kuwa Jiji.

Pia, Mhe. Chomoka,amewapongeza viongozi wa chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Morogoro Mjini akiwemo Katibu na Mwenyekiti wake pamoja na mkuu wa Wilaya ya Morogoro ambapo amesema yeye ni Mtumishi wa Madiwani wote hivyo atawapa ushirikiano mkubwa.

Mwisho,Mhe. Chomoka,amewaomba madiwani waendelee kumuamini katika utekelezaji wa majukumu yake kwani moja ya jukumu kubwa ni kuhakikisha anamsaidia Meya majukumu yake kikamilifu.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii, Mhe.Majuto Mbuguyu,ambaye ni Diwani wa Kata ya Uwanja wa Ndege, amewashukuru Madiwani kwa umoja wao na kuahidi kushirikiana nao bega kwa bega ili kuakikisha wanamsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Halmashauri hiyo iweze kusonga mbele katika kusimamia miradi mbali mbali ya maendeleo ikiwemo sekta ya afya.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amewapongeza Wenyeviti Kamati zote waliochaguliwa na kuwataka kufanya kazi pamoja kuakikisha Halmashauri hiyo inafikia malengo yake katika sekta zote .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa