• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

NYUMBA ZA KULALA WAGENI 14 ZAFUNGWA KWA KUKWEPA KULIPA KODI ZA SERIKALI MANISPAA MORO

Posted on: November 17th, 2019

Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Sheilla Lukuba amefunga jumla ya nyumba za kulala 14 zilizopo Manispaa baada ya kufanya ukaguzi wa kushitukiza jana tarehe Novemba 16 katika eneo la Msamvu.

Akiwa katika ukaguzi huo Mkurugenzi Sheilla ambaye aliongozana na maafisa kutoka Idara ya fedha na Biashara Manispaa wamebaini kuna udanganyifu mkubwa unaofanywa na wafanyabishara hao kwa kutowaandika katika vitabu wageni wanaofika na kulala katika nyumba hizo na lengo ikiwa ni kukwepa kulipa kodi ya ushuru wa hotel.

"Leo nimeamua kufanya ukaguzi huu kwa mara ya pili,wiki tatu zilizopita nilifanya ukaguzi kama huu na ukaguzi umekuwa ukiendelea katika maeneo mbalimbali na kubwa nilichokibaini ni udanganyifu unaofanywa na wafanyabiashara hawa,na wengi wana vitabu viwili yani cha bosi ambacho kinaandikwa ukweli na kitabu cha Manispaa hakijazwi kabisa ili kukwepa kulipa kodi"Alisema Mkurugenzi Sheilla.

Aidha Mkurugenzi Sheilla amemwagiza Mweka Hazina wa Manispaa Ponceano Kilumbi kuwatoza faini ya Tsh milioni moja kila nyumba ya kulala wageni iliyofungiwa ili iwe fundisho kwa wafanyabishara wote wanaokwepa kulipa kodi na kufanya udanganyifu.

Na kwa upande wa Mweka Hazina Ndg. Kilumbi amehahidi kutekeleza agizo hilo na kueleza kuwa kwa mujibu wa Sheria ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2015 ya hotel levy inawataka wafanyabiashara hao kuwaorodhesha wageni wote wanaolala katika nyumba hizo katika vitabu vilivyotolewa na Halmashauri ambavyo ukaguliwa na Manispaa kwaajili ya kulipa kodi kulingana na wageni aliowapata katika kipindi husika.

Pia Mkurugenzi Sheilla ametoa wito kwa wafanyabishara wengine wote kuacha kufanya udanganyifu kwa kuwa Serikali iko kazini na haitasita kuwachukulia hatua wale wote wanaofanya udanganyifu ikiwemo na kuwafikisha mahakamani wale wanaokaidi maagizo ya Serikali .

Ukaguzi Huo umehusisha nyumba za kulala wageni 20, na nyumba 14 zilifungiwa kutokana na kufanya udanganyifu na nyumba za kulala wageni 6 zilikutwa hazina makosa na kuelekezwa kuendelea kutii sheria bila shuruti.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa