• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

RC SANARE AAGIZA MANISPAA YA MOROGORO KUPOKEA WANAFUNZI WOTE WALIOFAULU DARASA LA SABA

Posted on: October 25th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Loata Ole Sanare ameuagiza uongozi wa Manispaa ya Morogoro kuhakikisha inawachukua wanafunzi wote waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2019 ambao wanatakiwa kuanza kidato cha kwanza mwaka ujao.

Mkuu wa Mkoa ametoa agizo hilo Oktoba 24 alipofanya ziara ya kutembelea baadhi ya  miradi inayotekelezwa na Manispaa ya Morogoro ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za sekondari ya Kola hill na Kingalu,ujenzi wa Soko Kuu na Stendi  ya daladala iliyopo kata ya Mafiga.

Akipokea taarifa za ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika kila shule hizo,ilielezwa wananchi walihamasishwa kujenga maboma,Halmashauri ilichangia kiasi cha Tsh 2,565,000 sawa na asilimia 7 na Serikali kuu ilitoa fedha kiasi cha Tsh 25,000,000 kwa kila shule kwaajili ya umaliziaji wa vyumba hivyo vya madarasa.

RC Sanare akitoa pongezi  kwa shule hizo kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo,amewashukuru wananchi kwa kujitolea kwao na kumshukuru Mhe Rais Dkt John P.Magufuli kwa kuendelea kuona umuhimu wa elimu na kuamua kutoa fedha kwaajili ya umaliziaji wa madarasa hayo.

"Manispaa ina upungufu wa madarasa 33,hivyo mnapaswa kujipanga vizuri kumaliza upungufu huo ili kila mtoto aliyefaulu aweze kuchukuliwa kuanza masomo ya kidato cha kwanza ifikapo mwezi Januari" Alisema Ole Sanare.

Akitotoa ufafanuzi Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Sheilla  Lukuba ameeleza kuwa Halmashauri imejipanga kikamilifu kukabiliana na changamoto hiyo ya upungufu wa madarasa na imetenga bajeti ya Tsh Mil 160 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,pia atafanya harambee na wazazi watahamasishwa kuchangia ujenzi hivyo alimhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwachukua wanafunzi wote waliofaulu.

Aidha RC Sanare ameendelea kusisitiza ofisi ya mhandisi kuweka sawa suala la miundombinu ya umeme katika vyumba hivyo vya madarasa,na kuendelea kufuata miongozo ya Serikali katika ujenzi wa majengo hayo na mengine.

Pia RC Sanare ametoa pongezi kwa uongozi wa Manispaa ya Morogoro kwa usimamizi mzuri wa ujenzi wa shule ya sekondari Mjimpya na Morogoro.   

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa