• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

RC SANARE AWATAKA WAZAZI KUFANYIA KAZI KWA VITENDO MAAZIMIO YA VIKAO VYA KAMATI ZA SHULE

Posted on: September 28th, 2020

MKUU wa Mkoa waMorogoro, Mhe. Loata Sanare,amewataka Wazazi  kufanyia kazi kwa vitendomaazimio mbalimbali  yanayotolewa katika Vikao vya Kamati za Shule ilikuinua ubora wa Elimu.

Hayo ameyasema leoSeptemba 28,2020 wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya Ujenziwa Madarasa wa Shule ya Msingi Juhudi Kata ya Lukobe Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza naWaandishi wa habari, Sanare, amewataka Wazazi kuwa mstari wa mbele katikakutimiza maagizo na yatokanayo yote yaliyojadiliwa katika vikao vya Kamati zashule ili kuweza kuinua ubora wa elimu .

RC Sanare, amesemani muhimu kwa Wazazi wanaoshiriki  katika Vikao vya kamati za shule kuyachukua maazimio yatokanayo na kikao katika kutekeleza kwa Vitendo yaleyaliyoazimiwa jambo litakalosaidia kwa kiasi kikubwa kutatua changamotombalimbali zinazoikumba Sekta ya Elimu.

"Nimeona nifike hapa tujadili kwapamoja ili Kudumisha Ushirikiano baina ya Walimu na Wazazi katika kuhakikishakuwa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya Elimu ikiwemo utoaji wachakula inapatiwa ufumbuzi ikiwamo uzingatiaji  utoaji wa Elimu ya awali,Uboreshajiwa miundombinu pamoja na kuzingatia utekelezaji wa maazimio yanayotokana naKamati  za shule, niwaombe Wazazi hawa ni watoto wetu wanahitajielimu  bora sasa kama sisi tutakwama hata elimu bora hawa watoto watakosaSerikali inafanya kazi kubwa ya kuimarisha elimu yetu kwa Watoto lakini kamawazazi pia tunayo majukumu ya kufanya kwa upande wetu ikiwamo kuchangia katikaujenzi na michango ya Chakula kwa Watoto wetu wawapo shuleni na ujenzi wamadarasa " Amesema RC Sanare .

Hata hivyo, katika kuhakikisha Ujenzi waMadarasa 3 yaliyobakia yanakamilika , amesema kupitia Ofisi yake kushirikianana  Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi waManispaa ya Morogoro, kuchangia kiasi cha Shilingi milioni 20 ambapo milioni 17zilizobakia Wazazi watachangia kwakuwa hadi hatua iliyopo nguvu zote zimetokaSerikalini.

 

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe.Bakari Msulwa, amewataka  Wazazi wa Wanafunzi  kujitoa kwa moyokuchangia Chakula Shuleni ili kuwawezesha watoto kupata chakula cha kutoshajambo litalaowawezesha watoto hao kuwa na Afya nzuri hali itakayowaezeshakufanya vizuri katika masomo yao na hivyo kuinua ubora wa Elimu .

 

DC Msulwa, amewataka Wananchi kutoaushirikiano wa kutosha kwa Walimu ikiwa ni sambamba na kujenga mazingira mazuriyatayowezesha Walimu na Watumishi katika Sekta ya Elimu kupenda mazingira yakazi jambo litakalosaidia kuinua ubora wa Elimu.

 Shule ya Juhudi ni miongoni mwa shulepacha ya msingi Lukobe ambayo mpaaka sasa ina jumla ya madarasa 3yaliyomaliziwa na Wanafunzi wanasoma ambapo madarasa 3 yapo katika hatua yaupauaji .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa