• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

RC SHIGELA AZINDUA UTOAJI WA CHANJO YA POLIO KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: May 19th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Martine Shigela, amezindua mpango wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya Miaka 5 Manispaa ya Morogoro.

Uzinduzi huo, umefanyika Mei 18/2022 katika Kituo cha Afya cha Sabasaba kilichopo Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza mara baada ya uzinduzi huo, RC Shigela,amesema takribani zaidi ya watoto 400,000 wenye umri chini ya miaka mitano wanatarajiwa kufikiwa / kupatiwa chanjo ya kupooza (Polio) katika Mkoa wa Morogoro.

"Kumekuwa na upotoshaji kuwa hii chanjo sio salama, Msiwe na shaka, Chanjo hii ya Polio ni salama kabisa na haina madhara yoyote na sio mara ya kwanza kuwapatia watoto wetu, hakikisheni watoto wanapewa chanjo hii, na wazazi toeni taarifa kwa wazazi wenzenu ili kuokoa taifa letu la kesho" Amesema RC Shigela.

RC Shigela, amesema kuwa mambukizi ya virusi vya Polio ni maambukizi yanayoathiri mfumo wa Neva na huweza kusababisha udhaifi wa misuli au Kupooza, ambayo ni kushindwa kusogeza misuli.

Aidha, amesema kuwa Polio husambazwa kwa kugusana na mtu aliyeambukizwa,au kwa njia ya kinyesi chenye maambukizi.

Ikumbukwe kuwa Ugonjwa wa Polio huathiri zaidi Watoto wenye umri chini ya miaka mitano kwa sababu Kinga ya mwili yao iko chini. Dalili za ugonjwa huo ni Homa,mafua, maumivu ya mwili, kichwa na shingo au ulemavu wa ghafla wa viungo vya mwili.

"kumbuka Matone mawili ya chanjo ya Polio, Tanzania Bora Kesho" Okoa taifa la kesho kwa kupata chanjo" Ameongeza RC Shigela.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA MOROGORO May 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWAN TAREHE 19.08.2021 August 18, 2021
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WADAI FIDIA VIWANJA 3000 MANISPAA YA MOROGORO KUHAKIKIWA UPYA

    June 20, 2022
  • MANISPAA YA MOROGORO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO AFRIKA

    June 16, 2022
  • MAADHIMSIHO SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KATA YA MAFIGA YAFANA

    June 14, 2022
  • MANISPAA YA MOROGORO YAZINDUA MASHINDANO UMITASHUMTA.

    June 14, 2022
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa