• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

SUA KUSAMBAZA MICHE YA MITI 53,000 KWA LENGO LA KUREJESHA HIFADHI YA MAZINGIRA MKOANI MORO

Posted on: May 6th, 2019

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kinatarajiakupanda miche ya miti aina mbalimbali  ipatayo 53,000 kwa mwaka huu(2019),mkoani Morogoro ambayo ni hatua ya kukabiliana na athariya  mabadiliko ya tabianchi, kuhifadhi mazingira na urejeshaji uotowa asili kwenye milima ya Uluguru.

 

 Rasi wa Ndaki ya Misitu,Wanyamapori na Utalii wa ChuoKikuu hicho , Profesa  John Kessy alisema hayo  kabla ya KaimuMakamu Mkuu wa Chuo hicho , Profesa Peter Gillah,kumkaribisha  KatibuTawala wa Mkoa wa Morogoro ,Clifford Tandari kuzindua wiki ya upandaji wa micheya miti SUA .

 

Profesa Kessy alisema ,tangu kampeni hiyo iliyoanzishwamwaka 1997, Chuo Kikuu hicho kimefanikiwa kupanda miche ya miti jumla yaekari  328  kwenye  maeneo yanayokizunguka.

Alisema ,katika utekelezaji wa mpango mkakati huo , jumlaya miche ya miti  578,300 imepandwa maeneo mbalimbali ya mkoa huosambamba na kwenye vyanzo vya maji  vya milima ya safu ya Uluguru naMindu .

 

“ Kwa mwaka huu  wiki ya upandaji miche ya mitiSUA imepanga kupanda miti 22,000 na itakayobakia itagawiwa kwa wananchi nataasisi za umma na binafsi  “ alisema Profesa Kessy.

Alisema ,tayari Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Morogoro imechukuamiche ya miti 500 kwa ajili ya kuwagawia wananchi wanaoishi safu ya milima yaUlunguru ili waweze kupanda na  lengo ni  kuhifadhimazingira  , wakati Manispaa ya Morogoro pia imechukua miche 500.

 

Profesa Kessy alisema kuwa, Kauli mbiu ya Chuo Kikuu hichokwenye  wiki ya upandaji miti mwaka huu ni : Panda miti kuimalishaeneo lako kuzuia migogoro ya Ardhi” .

Naye Kaimu Makamu wa Mkuu wa Chuo kikuu hicho,Profesa  Gillah alisema kuwa, shughuli za upandaji wa miti katikaChuo hicho ni endelevu.

 

Profesa Gillah ambaye ni Naibu Makamu Mkuu waChuo  Taaluma  alisema , upandaji wa miti n i sehemu yautekelezaji ulianza kufanyika tangu mwaka 1997 ambao lengo lake ni kuhifadhimazingira yanayoharibiwa na binadamu kutokana na shughulizao  mbalimbali za kuzalisha mali.

Naye Naibu wa Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu hicho Utawala naFedha ,Profesa Fredirick Kahimba aliwataka wananchikujitokeza  kuchukua miche hiyo kwa kuwa itatolewa bure kwaopamoja  taasisi za umma , binafsi na shule za msingi na sekondarimkoani Morogoro .

 

Pamoja na hayo aliwataka wanafunzi wa Chuohicho  kutumia wiki hiyo kujifunza kwa vitendo namna ya upandaji wamiche  ya miti ili wamalizapo masomo yao wawwe nauweledi  wa kuitumia elimu hiyo kwa manufaa ya watanzania .

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa ,Tandari aliwataka  wadaumbalimbali na wananchi wa mkoa huo kuziunga mkono juhudi za Chuo Kikuu hichokwa kujitokeza kupanda miti kwa wingi  katika maneo yao kwa lengo lakuhifadhi mazingira, kudhibiti migogoro ya mipaka na  miti nibiashara.

 

“ Ombi langu kwa wananchi wa mkoa wa Morogoro juhudi hiziza SUA ziendelea kuungwa mkono ili kuendelea kulinda mazingira yetu” alisemaTandari.

Hata hivyo aliutaka uongozi wa Chuo Kikuu hicho kuendeleana kutekeleza malengo yaliyoainishwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius KambarageNyerere alipokizundua  Chuo hicho.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa