• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

T.A.G USHARIKA MWEMBESONGO WAKABIDHI MADAWATI 100 SHULE YA MSINGI MWEMBESONGO.

Posted on: May 10th, 2024

KANISA la Tanzania Assemblies of God (T.A.G) , Bethel Revival Temple, Mtaa wa Mwembesongo Manispaa ya Morogoro chini ya Mchungaji wake, Dkt. Barnabas Mtokambali wamekabidhi jumla ya Madawati 100 Shule ya Msingi Mwembesongo Kata ya MjiMpya.

Madawati hayo yamekabidhiwa Mei 09/2024 na kupokelewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, pamoja na Uongozi wa Kata ya MjiMpya wakiongozwa na Diwani wa Kata hiyo Mhe. Emmy Kiula.

Akizungumza wakati wa kukabidhi Madawati hayo, Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (T.A.G) , Bethel Revival Temple lililopo Mtaa wa Mwembesongo Manispaa ya Morogoro , Dkt. Barnabas Mtokambali ,amesema msaada huo ameutoa kutokana na ukaribu na ushirikiano mzuri wa Uongozi wa Kata hiyo na Uongozi wa Shule.

"Leo tumetatua  changamoto ya watoto wetu,tuna historia na shule hii, kamwe kanisa letu hatuwezi kuisahau shule hii,nimekaa na wazee wangu wa Kanisa wakasema tuwape madawati 100 ili tumalize changamoto yao na leo tumetimza ahadi yetu "AmesemaDkt. Mtokambali.

Kwa upande wa Mstahiki Meya Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, ameshukuru Kanisa  la T.A.G kwa msaada wao wa Madawati 100 huku akisema kuwa msaada huo utaondosha kero ya wanafunzi darasani na hakuna mwanafunzi ambaye atakosa sehemu ya kukaa.

"Tunawashukuru wadau wetu, haya madawati watoto wetu wote watakaa kwenye nafasi zao, lakini hata waalimu unawapa nafasi nzuri ya kufundisha na wanafunzi wakaelewa vizurri darasani, milango ipo wazi Manispaa karibuni wadau kwa maoni, ushauri na misaada sisi kama Serikali tutaendelea kutoa ushirikiano" Amesema Kihanga.

Naye Diwani wa Kata ya Mji Mpya, Mhe.Emmy Kiula,amesema T.A.G wamekuwa msaada kwa Kata hiyo kwani wamekuwa wakiwa karibu na changamoto za wana Mji Mpya hususani Shule ya Msingi Mwembesongo.

“Niseme kutoka moyoni nimepata faraja kubwa kwa ndugu zetu kutukumbuka,wamekuwa msaada mkubwa sio tu kwenye madawati , bali wamekuwa wakitusaidia katika Nyanja mbalimbali zikiwemo za Elimu, Afya, Mazingira na huduma nyingine za kijamii. ,na hili pia la kutupa madawati ni tukio jema la faraja” Amesema Kiula

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa