• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WADAU WA KILIMO WAJADILI KWA PAMOJA MPANGO WA KUENDELEZA SEKTA YA KILIMO AWAMU YA PILI (ASDP II)

Posted on: September 30th, 2019

Wadau wa sekta ya Kilimo na Mifugo Manispaa ya Morogoro, wameupitia na kuujadili mpango wa kuendeleza sekta  ya Kilimo Awamu ya pili katika kikao kilichofanyika  tarehe 27/9/2019.

Akifungua kikao hicho Mwakilishi wa MKuu wa Wilaya ya Morogoro Ndg. Hilari Sagara, ameleza kuwa Manispaa ya Morogoro haina budi kukaa na kuweka mpango mkakati madhubuti  utakaohakikisha kuwa, shughuli za Kilimo na Mifugo zinatekelezwa kwa tija ili kuongeza pato la mwananchi wa kawaida na kutoa uhakika wa usalama wa chakula na kuchangia katika Maendeleo ya Viwanda.

Aidha Ndg. Sagara alieleza kuwa awali sekta ya kilimo ilikuwa na Program ya kuendeleza Kilimo awamu ya kwanza (ASDP I), iliyoanza mwaka 2006/2007 hadi 20/3/2014.  Mafanikio yaliyopatikana ni pamoja na kuwepo kwa mfumo maalum wa kuandaa mipango ya Maendeleo ya Kilimo katika Wilaya  (DADPS) kwa kushirikisha ngazi zote za Utawala, Upatikanaji wa vitendea kazi, Kuboreshwa kwa huduma za Utafiti na Ongezeko la Matumizi ya Pembejeo.

Sekta ya Kilimo bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali lakini sisi wadau kwa kushirikiana na sekta binafsi, tunayo nafasi kushiriki kikamilifu katika kuendeleza sekta ya Kilimo na Mifugo "Alisema Ndg. Sagara".

Serikali kwa kutambua mapungufu yaliyojitokeza katika program ya awali, imeamua kuandaa program ya miaka 10 (ASDP II) itakayotekelezwa katika awamu 2 ya miaka mitano-mitano.  Program hiyo imeainishwa katika maeneo makuu 4 ikiwa ni pamoja na Usimamizi endelevu wa matumizi ya maji na ardhi, Kuongeza tija na faida katika Kilimo, Mifugo na Uvuvi , Kuongeza tija na faida katika mazao ya Kilimo na Mifugo na Kuimarisha Uratibu, Ufuatiliaji na tathimini.

Nao wadau wa kikao hicho wameshauri wakulima kupewa elimu ya vifunganishio,matumizi sahihi ya mbegu,dawa na mbolea,usalama wa chakula.Aidha wakulima waliomba uwepo udhibiti wa wauza pembejeo feki,na kuishauri idara ya kilimo kufikiria kuanzisha bima kwaajili ya wakulima.

Kikao hicho kimehudhuriwa na wawakilishi kutoka Shambani Milk,USAID The Future mboga na matunda,SUA,wadau wa Ngozi,SEED-CO,kituo cha ufugaji samaki Kingolwira na Benki ya NMB.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa