• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WAKAZI ELFU 30 KUNUFAIKA NA UJENZI WA KITUO CHA AFYA LUKOBE

Posted on: July 8th, 2022

Kituo cha Afya cha kata ya Lukobe Manispaa ya Morogoro , kinatarajiwa kukamilika hivi karibuni kitakuwa na uwezo wa kuhudumia zaidi ya Wananchi 30000 na Mitaa jirani.

Akitoa taarifa ya ujenzi wa kituo hicho kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi huo leo Julai 08/2022, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Morogoro, Dkt. Charles Mkumbachepa, amesema kuwa, Kituo hicho kinachogharimu jumla ya sh. Milioni 500 kinajengwa kupitia fedha za Tozo za huduma za simu ambapo kikikamilika kitaweza kuhudumia idadi hiyo ya watu na kuboresha huduma za afya.

Aidha, Dkt. Mkumbachepa,ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwa kuhakikisha Wananchi wa Manispaa ya Morogoro wanapata huduma mbalimbali hususani huduma za afya pamoja na kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Vituo vya afya na Zahanati ambapo kwa Manispaa ya Morogoro wamekamilisha Zahanati 6 na zote zimeanza kufanya kazi.

Mradi huo wa Kituo cha Afya cha Lukobe, ni miongoni mwa miradi itakayopitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2022 unaoongozwa na Kiongozi wa Mbio hizo 2022 , Ndug. Sahil Geraruma.

Mbali na huduma za afya, Dkt. Mkombachepa, amewaomba Wananchi wa Manispaa ya Morogoro kushiriki vyema katika SENSA ya Watu na Makazi itakayofanyika mwaka Agosti 23/2022 ambapo amesema huduma za afya zinazoendelea zitaimarishwa zaidi endapo Serikali watapa idadi nzuri ya Wananchi ili kuoboresha miundombinu na kuwaletea maendeleo.

“SENSA KWA MAENDELEO ,JIANDAE KUHESABIWA TAREHE 23/08/2022”

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa