• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WAMACHINGA , MAMA LICHE MANISPAA MORO WAJITOKEZA KUPATA KITAMBULISHO CHA MFANYABIASHARA MDOGO.WAMPONGEZA MHE RAIS MAGUFULI.

Posted on: February 6th, 2019

Wafanyabiashara wadogo wa mkoa wa Morogoro na mikoa minginewamempongeza Rais , Dk John Magufuli kuwajali baada ya kuwaanzishia mfumowa  kitambulisho  cha mfanyabiashara mdogokwa  gharama nafuu   na kuwawezesha kufanya biasharamaeneo mbalimbali ya nchi kwa uhuru na bila kubughudhiwa.

 

Kiongozi wa Wafanyabiashara wadogo wa machinga wa mkoa,Faustine France alitoa pongezi hiyo kwa niaba ya wenzake  na alisemakuwa hadi kufikia Februari 5, mwaka huu wafanyabiara wadogo 2,200 kati ya3,350 waliosajiliwa katika chama chao wamepata vitambulisho hivyo.

France alisema alitoa pongezi hizo na kusemahayo   kwa Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro, CliffordTandari  wakati  wa uzinduzi wa  zoezi lakuwasajili na uuzaji wa vitambulisho hivyo kwenye  viwanja vyabiashara vya Sabasaba  vilivyopo  Manispaa ya Morogoro .

‘ Tunampongeza Rais kwa kutupatia vitambulisho sisiwafanyabiashara wadogo ,na sasa tunaondokana na kubughuziwa na askari wa mgambowa Manispaa  na watu wengine “ alisema France na kuongeza kuema .

“ Bado kama viongozi tunaendelea kufanya ufuatiliaji na piakuwasajiri wamachinga kwani kila mara idadi yao inaongezeka na lengo ni kupataidadi kamili  na wanufaike na jambo hilo” alisisitiza France.

Kiongozi wa Wafanyabiashara wadogo  alitumia fursahiyo kuwahimiza na kuwaomba wenzake  “machinga”  ndani yamkoa kujitokeza kwa wingi kuchukua vitambulisho  kwa vile ni bei yakeni nafuu Sh 20,000 na kutumika kwa mwaka mzima.

 

Naye Meneja wa Soko la Sabasaba ,Joseph Makalla alisema,kuna viambata 480 ndani ya soko hilo na baada ya kukamilika zoezi hilouongozi wa soko utafanya uhakiki wa  usajili  wenyevitambulisho hivyo ,wenye leseni za biashara za Manispaa ,  nawaliopo kwenye mfumo wa VAT ili kubaini wale watakaokuwawanafanya  biashara bila kufuata utaratibu.

 

Nao wafanyabiashara wadogo ,Sadiq Atanas  pamojana Doto Adam wanaojishughulisha na biashara ya kuuza  vinywaji baridistendi kuu ya Msamvu ,Manispaa ya Morogoro ambao ni miongoni walionunuavitambulisho hivyo kwa nyakati tofauti walisema kuwa watakuwa huru katikakufanya baiashara zao bila kusumbuliwa na askari wa mgambo.

“ Tumevisubiri kwa hamu vitambulisho hivi , wakati mkuu wawilaya na timu yake inahamasisha eneo la Msamvu , hatukuwa tumejipanga , lakinitulivyosikia matangazo leo zoezi lipo hapa Sabasaba tumekuja na nyaraka zetu natunafurahi tumevipata “ alisema Atanas.

 

Wafanyabiashara wengine walionufaika na mpango huo niwa  kutoka mkoani Arusha ,Obeid Supuku pamoja na Kerika Laibon ambaowanajishughuliza na kuuza viatu kwa kutembeza mitaani wakisafiri mkoa mmojahadi mwingine na waliweza kukamilisha zoezi la kupata vitambulisho hivyo kwakutimiza masharti yaliyowekwa.

“ Binafsi mimi na wenzagu tunatoka Arusha hadi Morogoro namikoa mingine kuuza viatu na biadhaa nyingine , zoezi hili limenikutahapa  Sabasaba kwa kuwa nina kitambulisho ya mpiga kura na picha ,nimejaza fomu na kupatiwa kitambulisho changu, nipo huru kwenda popote kuuzaviatu vyangu” alisema Laibon.

Katika awamu ya kwanza mkoa huo ulipokeavitambulisho  25,000 na kwenye kikao cha tathimini kilichoitishwa namkuu wa mkoa huo, Dk Kebwe Stepeh Kebwe Februari 4, mwaka huu ilionesha niasilimia 24 ya vitambulisho hiyo viliuzwa kwa  walengwa .

Hata hivyo ,awamu ya pili mkoa umepatiwa vitambulisho40,000 ambapo mgawanyo wa kila  halmashauri ambapo Manispaa yaMorogoro ikipatiwa 10,000 , nyingine idadi yake kwenye mabano  Kilosa(7,000), Kilombero ( 5,000), Mvomero (5,000), halmashauri ya wilaya yaMorogoro(4,500), Gairo (3,500),  Ulanga (2,500),  naMalinyi (2,500) .

Mkuu wa mkoa aliwataka wakuu wa wilaya , wakurugenzi wahalmashauri kushirikiana kwa pamoja na wasaidizi wake kwenda maeneo ya walengwaili kutoa elimu na kuwaingiza katika mfumo  wa kupata vitambulishohiyo na kutoa muda hadi Februari 28, mwaka huu zoezi liwe limekamilika .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa