• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WANUFAIKA WA TASAF WATAKIWA KUJISAJILI KWA NJIA YA MTANDAO ILI KULIPWA FEDHA ZAO.

Posted on: June 4th, 2021

Walengwa wa TASAF Manispaa ya Morogoro wametakiwa kujisajili katika mfumo wa mtandao ili kuweza kulipwa malipo yao.

Kauli hiyo imetolewa  na Mratibu wa TASAF Manispaa ya Morogoro, Bi Feliciana Katemana wakati wakifanya malipo kwa wanufaika hao wa mfuko wa TASAF.

Akizungumza na Wanufaika hao, Katemana, amesema mfumo huo wa malipo kwa njia ya mtandao utarahisisha upatikanaji wa malipo kwa urahisi tofauti na kuwafuata walengwa mahali walipo kutokana na miundombinu.

Aidha, amewataka walengwa wote wa mfuko wa TASAF  ambao bado hawajaingia katika mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao wajisajili mapema ili wakati wa malipo waweze kupatiwa stahiki zao.

‘’ Tunashukuru kwa kuwepo kwa mfumo mpya wa malipo ya mtandao kwani mpango huu sisi ni mara ya kwanza kulipa kwa njia hii ni mzuri na salama kwa walengwa na wawezeshaji na kuna urahisi wa malipo tofauti na kuwafuata walengwa mahali walipo kutokana na miundombinu lakini kupitia mtandao tunaweza kufanya malipo kwa haraka zaidi niwaombe Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Mitaa, Kata kuwahamasisha walengwa wajisajili na mtandao kwa kutumia simu au benki wale amabao watakosekana katika uhakiki watakuwa wamejiondoa wenyewe katika mpango huu” Amesema Katemana.

Hata hivyo , Katemana ,amesema kuwa katika  kipindi hiki wamepokea jumla ya shilingi  108,352,120 millioni  kwa jili ya wanufaika wa TASAF  na shilingi 60,846,120 millioni zimelipwa kwa njia ya mtandao na shilingi 47,506,000 zimelipwa kwa pesa taslimu  kwa sababu kuna walengwa wamejisajili na mtandao lakini majina yao waliojisajili nayo kwenye mpango wa TASAF hayafanani na majina yaliyo kwenye kitamburisho cha Taifa au cha mpiga kura.

Aidha, amesema kuwa mpaka sasa jumla ya walengwa 6561 wameshatambuliwa kupitia ngazi ya mtaa na kuwasilisha idadi hiyo makao makuu na mwezi juni 2021 hivyo kinachofanyika sasa ni kufanya  utambuzi yakinifu wa 30% na utambuzi huu utafanyika kwanjia ya mikutana hivyo walengwa wote wakati wa kitishwa mikutano wanatakiwa kujitokeza na kutambuliwa kwa kushirikiana na viongozi wa Mtaa, Kata na wananchi wenyewe kama ilivyo kuwa miaka mingine iliyopita.

Mbali na hayo Katemana amesema kutafanyika zoezi la  utambuzi wa 30% wa kaya zilizo katika mpango wa TASAF  kwani mpango wa awamu ya pili ulifika kwa asilimia  70% na mwezi juni utambuzi  wa asilimia zilizobaki utafanyika  huku wananchi wakitakiwa kutoa mchango wao wa kuwatambua wenzao  kwani wao ndiyo wanawajuwa watu wao kupitia vigezo ambavyo vinatumika kuwatambua wanufaika hao.

Mpaka sasa jumla ya walengwa 2504 wameshalipwa malipo yao ambapo walengwa 1190 wamelipwa kwa fedha taslimu na walengwa 1314 wamelipwa kwa njia ya mtandao.

Mwisho,amewataka , wanufaika wote wa TASAF , kutumia fedha wanazo pata kwa manufaa ili waweze kujiwekeza zaidi kupitia fedha hizo na kuachana na mambo ya hanasa kwani fedha hizo ni kwaajili ya kujinasua na umaskini kwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kiujasiliamal



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa