• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

ZAHANATI 6 MPYA MANISPAA YA MOROGORO KUANZA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI.

Posted on: April 1st, 2022

ZAHANATI mpya sita (6) ,Manispaa ya Morogoro zimeanza kutoa huduma huku baadhi ya huduma nyingine zikiwa mbioni kuanza kutolewa huku Manispaa ikianza na watumishi 18 katika zahanati zote 6 wakiwamo wauguzi 12,Madaktari wasaidizi 2 na Tabibu 2 ikiwa ni asilimia 20 ya mahitaji ya watumishi 15 kwa kila Zahanati.

Hayo yamezungumzwa na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Michael Waluse, katika ziara ya Menejimenti ya Manispaa ya kukagua miradi ya Zahanati hizo leo Aprili 01/2022.

Akizungumza katika ziara hiyo, amesema kuwa ndani ya siku 7-10 watahakikisha huduma zote muhimu zinazotakiwa kutolewa katika Zahanati hizo zinapatikana.

Waluse ,amesema katika ukamilishaji wa miradi hiyo ya ujenzi wa Zahanati 6, jumla ya shilingi 475,432,391.50/= zimetumika ambapo Milioni 379,554,891.50 sawa na silimia 75 ni mapato ya ndani na asilimia 21 kutoka Serikali kuu.

Kuhusu upatikanaji wa vifaa tiba,amesema , baadhi ya vifaa vimepatikana kwa kushirikiana na Ofisi ya Mganga Mkuu wa Manispaa na baadhi ya vituo vya kutolea huduma za afya 13 ambavyo vimechangia upatikanaji wa meza 32 zenye gharama ya Shilingi milioni 2,6000,000/=.

Aidha, , hadi sasa jumla ya vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi Milioni 11,051,496/= zimepelekwa katika kituo 1, ikiwa ni 13% ya mahitaji yote yanayohitajika katika vituo vyote 6 na hivyo kuwa na upungufu asilimia 87.

Pia, amesema ,juhudi zinazofanyika ili kukabiliana na upungufu huo, vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 36,970,540.88/= vimeagizwa bohari ya dawa (MSD) ikiwamo Hb Machine 6, Cuvette Hb 1000, BP Machine 6, Stethoscope 12, Bed Sheet 30, Matress 25, Digital BP Machine 6 na Digital thermometer 20.

Kwa upande wa Mganga Mkuu wa Manispaa ya Morogoro, Charles Mkombachepa, amesema juhudi mbalimbali zinafanyika ili kuhakikisha vituo hivyo, vinapata dawa kwa kuwa bado havina akaunti MSD.

Mkumbachepa, amesema baadhi ya vituo vya kutolea huduma vimechangia upatikanaji wa dawa zenye thamani ya Shilingi Milioni 3,261,300/= sawa na asilimia 3 ya mahitaji katika vituo hivyo 6 na hivyo kuwa na upungufu wa asilimia 97, na dawa zote zimepelekwa katika Zahanati ya Tungi.

Miongoni mwa Zahanati hizo ni Mgaza Kata ya Mindu, Sulatan Area, Mbuyuni, Tungi, Kihonda Maghorofani, na Kiwanja cha Ndege.

Mbali na Zahanti hizo, ziara hiyo imepata nafasi ya kukagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Lukobe kilichotengewa Milioni 250, ujenzi umeanza na unaendelea kwa kasi.

Mwisho, wajumbe wa CMT, wamewapongeza Baraza la Madiwani ,Madiwani wa Kata zenye Zahanti hizo, Viongozi wa Chama Cha CCM pamoja na Watendaji kwa kazi nzuri ya kusimamia vyema miradi hiyo inayolenga kutoa huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa