• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Public Relation
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

ZAIDI YA VITAMBULISHO 83 VYAGAIWA KWA WAZEE KATA YA MAZIMBU MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: January 20th, 2023

MSTAHIKI Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, ambaye ni Diwani wa Kata ya Mazimbu , amegawa vitambulisho vya msamaha wa matibabu kwa wazee 83 katika kata hiyo kwa lengo la kuvitumia kwa ajili kutambulika na kupata huduma ya Afya bure katika hospitali za Serikali.

Zoezi hilo limefanyika Januari 19/2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Kata ya Mazimbu ambapo makabidhiano hayo yamefanyika kwa Wenyeviti wa Mitaa ya Kata hiyo yakishuhudiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Kata ya Mazimbu Ndugu, Isack Wella.

Akizungumza wakati wa ugawaji wa Vitambulisho hivyo, Mhe. Kihanga, amewahakikishia wazee hao kuwa zoezi hili ni endelevu kwa Kata zote 29 ili kuhakikisha kila mzee aliyoko ndani ya Manispaa ya Morogoro hii anapata kitambulisho hiko.

Naye Afisa Ustawi kutoka Ofisi ya Ustawi , David Max, amewataka wazee wote waliopata vitambulisho vya msamaha wa matibabu kuanza matibabu katika ngazi ya Zahanati zilizoko katika mitaa yao hadi ngazi ya Wilaya.

Akiongea mara baada ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho hivyo, Mwenyekiti wa Wazee Kata ya Mazimbu, Isack Wella, amewaomba Madaktari na Wauguzi kutoa huduma hiyo bila kuwanyanyasa pamoja na kuiomba Serikali kuruhusu vitambulisho hivyo kutumika kwenye huduma zote kwa maana ya kupatiwa vipimo pamoja na Dawa.

Manispaa ya Morogoro ni miongoni mwa Halmashauri zinazotekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungan wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha kuwa wazee wote wanapata Matibabu bure kupitia Vitambulisho hivyo vya Msamaha wa Matibabu.


Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ORODHA YA MADEREVA NA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA III WALIOITWA KUFANYA USAILI TAREHE 29/08-1/09/2022 August 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC NSEMWA AWATAKA WADAU WA SANAA KUCHANGAMKIA MKOPO WA ASIMILI 10 WA HALMSHAURI

    March 10, 2023
  • KATA YA SABASABA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAKUMBUKA WATOTO WENYE UHITAJI.

    March 07, 2023
  • MBUNGE MZERU AAHIDI MILIONI 1.5 KUTUNISHA MFUKO WA JUKWAA LA WANAWAKE KIHONDA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    March 07, 2023
  • DIWANI CHOMOKA KUJA NA MKAKATI WA KUVISAIDIA VIKUNDI KUPATA MASOKO.

    March 06, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa