• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MGANGA MKUU MANISPAA MOROGORO AWAONYA WAMILIKI WA ZAHANATI ZISIZO ZINGATIA SHERIA

Posted on: December 22nd, 2020

MGANGA Mkuu wa Manispaa Morogoro, Dr Ikaji Rashidi, amewaonya wamiliki wa Zahanati  ambazo zimekuwa zikiendesha huduma bila kuzingatia sheria hususani katika suala zima la usajili.

Kauli hiyo ameitoa Desemba22/2020 wakati wa ziara ya kukagua Zahanati zinazomilikiwa na watu binafsi.

Akizungumza Kuhusu Zahanati hizo amewataka Wamiliki wa Zahanati zote ambazo hazijasajiliwa wafike Ofisi Kuu ya Mganga wa Manispaa kwa ajili ya kupata usajili kabla ya yeye kuchukua hatua Kali ya kisheria. Dr Ikaji amesema Wananchi wamekuwa wakiwaamini Sana Wataalamu hao lakini huduma inayotolewa hazizingatii afya ya mteja.

Amesema katika ziara yake amebaini kuwa Zahanati nyingi zimekuwa zikitoa huduma bila kuzingatia usajili Jambo ambalo ni kinyume na utaratibu wa Sheria za afya.

" Nimefanya ziara hii baada ya kubaini Kuna Changamoto katika Zahanati hizi zinazomilikiwa na watu binafsi, lakini wamekuwa wakitoa huduma bila usajili, niombe wamiliki wote wafike Ofisi ya Mganga Mkuu wa Manispaa kwa ajili ya kupatiwa usajili, sisi tunaziara kubwa ya Kimkakati tunaendelea kubaini Zahanati ambazo zimekuwa zikiendesha huduma za afya kwa vunja sheria, tufanyeni kazi kwa kuzingatia sheria, tunawatibu binadamu lazima tuzingatie Taaluma zetu, Kama umeshindwa kusajili, funga sio lazima utoe hii huduma " Amesema Dr Ikaji.

Amesema kuwa miongoni mwa changamoto alizokumbana nazo ni pamoja na Darubini kutofanya kazi, hakuna chombo Cha kusafishia vifaa vya maabara, stoo za dawa kutumika Kama duka la dawa, Mazingira mabovu ya miundombinu pamoja na Maeneo ya kuhifadhia taka.

Mwisho, amewataka Wamiliki wote wa Zahanati wazisajili ili waweze kutoa huduma Bora kwa wananchi kwa kuzingatia sheria na kanuni za afya.

Miongoni mwa Zahanati zilizofungiwa kutokana na makosa Ni pamoja na Zahanati ya BMG kata ya Mafiga, Maabara ya ijue afya yako.

Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA MOROGORO YAANZA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA SERIKALI LA UJENZI WA SHULE MPYA ZA SEKONDARI

    December 28, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWAKUMBUKA YATIMA KUELEKEA SIKUKUU YA CHRISTMAS

    December 23, 2020
  • MGANGA MKUU MANISPAA MOROGORO AWAONYA WAMILIKI WA ZAHANATI ZISIZO ZINGATIA SHERIA

    December 22, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWATAKA WATENDAJI KATA KUHAKIKISHA MABOMA YA MADARASA YANAKAMILIKA KWA WAKATI ILI WANAFUNZI WALIOFAULU WAINGIE DARASANI

    December 21, 2020
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa