• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC MOROGORO KUWAWAJIBISHA WATENDAJI WATAKAOSHINDWA KUSIMAMIA USAFI WA MITO INAYOPITA KATIKA MAKAZI YA WANANCHI.

Posted on: November 8th, 2019

Mkuu wa Wilaya Morogoro Mhe.Regina Chonjo atoa siku 4  kwa Manispaa kuwawajibisha Watendaji wa Kata watakao kutwa na taka taka katika mito na mifereji inayopita katika makazi ya wananchi.

DC Chonjo, ametoa agizo hilo kwa Manispaa na kutaka kupata taarifa ndani ya siku 4 na kumwelekeza Afisa Mazingira kuwasimamia  Watendaji wa Kata na kuhakikisha   taka taka zote zilizopo katika mito na mifereji zinaondoka.

Hayo ameyasema katika mkutano wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi uliofanyika katika Viwanja vya Hospitali ya Rufaa Morogoro kufuatia malalamiko ya wananchi juu ya uwepo kwa taka taka kwenye mito na mifereji, jambo linalosababisha mito kuziba na kuleta maafa kwa Wananchi wakati wa mvua.

Aidha, DC Chonjo, amesema kuwa taka taka zikidi katika mito husababisha mafuriko katika maeneo wanayoishi Wananchi wakati wa mvua, hivyo kila mtendaji awajibike kuhakikisha mito hiyo inakuwa safi na kila Mwananchi awe mlinzi wa mwenzake.

DC amesema ,kumekuwa na malalamiko katika Mto Kikundi kuelekea kata ya Mwembesongo, Wananchi wakilalamika kuwepo na mrundikano wa takataka na  kusabisha mafuriko  mvua ikinyesha, hivyo katika kuona kero hiyo inataturiwa amemuagiza Mhandisi wa Manispaa, Juma Gwisu, kuhakikisha wanaweka bajeti ya kufukua mito hiyo  na kuona jinsi ya kusafisha ili wananchi wasipate madhara.

Kwa upande wa Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro, Juma Gwisu, amesema Manispaa imetenga Bajeti katika mwaka wa fedha mwaka 2019/2020 , kwa ajili ya kufanya matengenezo ya mifereiji pamoja na mito ili kuzuia mafuriko na kuweka mipango mikakati ya kusimamia usafi katika mifereji ya mito hiyo.

"Ni kweli malalamiko hayo yapo, lakini juhudi tunazo zifanya kila ifikapo kipindi cha mvua  Manispaa tunafukua mito  ili kuepusha maji kujaa na kuleta madhara katika nyumba za watu, hivyo katika mwaka huu tumeanza kupata fedha na tunajenga kipande cha Km 2.4 katika Mto kikundi na sehemu iliyobakia kadri bajeti itakavyopatikana, tutaendelea na ujenzi huo" Amesema Mhandisi Gwisu

Aidha, amesema baadhi ya maeneo yenye uchafu yanasababishwa na wakazi wenyewe, kwani nyumba zinajengwa karibu na mito na wakazi waishio maeneo hayo wanafanya mito hiyo kama dampo la kutupia taka taka.

Amewataka Wananchi washirikiane na Manispaa ili kuepusha utupaji taka taka hovyo katika mito hiyo na kuepuka madhara yanayowakumba Wananchi kipindi mvua inaponyesha.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa