• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

Posted on: April 17th, 2025

KAMATI ya Kudhibiti UKIMWI Manispaa ya Morogoro , imeitaka jamii kuongeza kasi ya mapambano ya vita dhidi ya maradhi hayo na kupunguza maambukizi kwa jamii kwa kupinga vitendo vya usagaji na ushoga hasa kwa wanafunzi na watoto.

Kauli hiyo imetolewa Aprili 17-2025 katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Ofisi ya Kata ya Magadu kwa ajili ya kujadili shughuli mbalimbali zilizotekelezwa kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka wa fedha 2025.

Aidha, Mhe. Chomoka,ameitaka jamii kuhakikisha ina kuboresha malezi ya watoto kwa kukemea vitendo vya usagaji na ushoga na ukatili unaofanywa kwa wanafunzi na watoto.

"Hakuna Taifa madhubuti la kesho kama hakuna malezi bora ya watoto, tunaiomba jamii iwe sehemu ya walimu, jamii iwe sehemu ya wachunga, jamii iwe sehemu ya malezi hawa ni watoto wetu wakiharibika tunahiaribu jamii ya kesho, maana miongoni mwao ndtio tunatarajia tutapata viongozi, miongoni mwao tunategemea tutapata watumishi, Mashekhe, tutapata mapadre, tutawapata watu wa kila aina ambao leo hii wapo kwenye jamii wanatuongoza”Amesema Chomoka.


Chomoka,amezitaka shughuli zote zinazoadhimishwa ndani ya Manispaa ziweke utaratibu wa watu kupima ili kubaini hali ya maambukizi ya UKIMWI.

Kwa upande wake mjumbe wa kamati hiyo, Mh. Amina Ziuye, amesema jamii ni lazima ichukue hatua zamaksudi kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule za sekondari na msingi kwa kuwa wao ni wahanga wa kwanza wa vitendo hivyo.

Mh.Ziuye, ameongeza kuwa wapo baadhi ya vijana waliopo shuleni wameibua tabia ya kutaka kufanya mapenzi ya jinsia moja na watu wanaobainika au kuhisiwa kuwa na tabia hizo ambao baadhi yao tayari wamesha athirika na virusi vya UKIMWI.

Naye Mjumbe anayewakilisha mashirika binafsi kutoka Taasisi ya kusaidia masuala ya kisheria Morogoro Paralegal Centre, Chediel Senzighe, ameiomba kamati hiyo wataalam wa Afya kuwafikia walemavu kuwapa elimu ya kujikinga na maambukizi kwa kuwa kundi hilo halizingatiwi lakini maambukizi hayachagui kundi fulani la watu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • BALOZI BATILDA ATAKA MAONI YA WADAU KUFANYIWA KAZI KUELEKEA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MSHARIKI 2025

    May 06, 2025
  • MAAFISA ARDHI WATAKAOBAINIKA NI VYANZO VYA MIGOGORO YA ARDHI TUTAWAFIKISHA MAHAKAMANI-DKT.NDUMBARO.

    May 05, 2025
  • WAAJIRI SEKTA BINAFSI RUHUSUNI WATUMISHI WENU KUJIUNGA NA CHAMA CHA WAFANYAKAZI - RC MALIMA.

    May 01, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa