• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC NSEMWA ATEMBELEA MRADI WA MACHINJIO MKUNDI NA KUJIONEA MAENDELEO YAKE

Posted on: February 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, mheshimiwa Rebbeca Nsemwa, tarehe 15.02.2024 ametembelea eneo la ujenzi wa machinjio ya muda ya Manispaa ya Morogoro na kumtaka Mkurugenzi wa Manispaa kuhakikisha mradi huo unakamilika mapema ili wananchi waanze kunufaika nao.

Akiwa katika eneo hilo lenye ukubwa wa hekari 83 lililotengwa na Manispaa mheshimiwa Nsema alipokea taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Manispaa, kuhusu shughuli zinazofanyika, na ambazo zinatarajiwa kuendelea kufakwa mahali hapo.

Mkurugenzi wa Manispaa, ndugu Ally Machela alisema katika eneo hilo patajengwa machinjio ya kisasa, mradi ambao kwa sasa andiko lake limeshawasilishwa kwenye Wizara husika kwa ajili ya kushughulikiwa.

“Kabla mradi wa machinjio ya kisasa haujaja kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo, na Uvuvi, sisi kama Manispaa mwaka huu tumeleta hapa shilingi milioni 150 kwa ajili ya kujenga machinjio ya muda, eneo la mnada, na mazizi ya kufugia wanyama, na katika bajeti yetu ya mwaka 2024/2025 tumetenge shilingi milioni 350 kwa ajili ya kufungua barabara inayokuja kwenye eneo hili. Ni imani yetu kwamba tukifanya haya tutawavutia hata Wizara ya Mifugo kutuletea machinjio ya kisasa mahali hapa” alifafanua Machela.

Katika hatua nyingine, ndugu Machela amesema TANESCO ndani ya wiki ijayo watafikisha Transfoma ya umeme eneo hilo na umeme utaanza kuwaka.

Vilevile, amesema wataalamu wa bonde la mto Ruvu walifanya utafiti na kubaini maeneo matatu ambapo panaweza kujengwa visima vitatu, na Manispaa tayari imeshapata mfadhili ambaye atasaidiana na Ofisi yake kujenga visima hivyo.

Maeneo mengine ambayo Mkuu wa Wilaya ameyatembelea ni pamoja na jengo la wodi ya wazazi kwenye Zahanati ya Kihonda, na jengo la utawala la shule ya Sekondari Uluguru, miradi ambayo ilitekelezwa kwa nguvu za wananchi na Ofisi ya Mkurugenzi inatarajia kuikamilisha.

Akiwa kwenye miradi jengo la utawala la shule ya Uluguru, mheshimiwa Nsemwa amepongeza juhudi za Mheshimiwa Diwani kwa kuhamasisha wananchi wake kuchangia shughuli za maendeleo, na walimu kwa kutunza mazingira ya shule hiyo.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa