• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Public Relation
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YAAHIDI KUBORESHA MIPANGO KAZI NGAZI YA KATA.

Posted on: January 23rd, 2023

KAMATI ya Kudhibiti Virusi vya UKIMWI  Manispaa ya Morogoro imesema kwa sasa watahakikisha wanaelekeza nguvu katika kuboresha mipango kazi ngazi ya Kata ili kudhibiti maambukizi mapya ya UKIMWI.

Kamati hiyo, imesema hayo Januari 23/2023, katika ziara ya kutembelea Kata ya Bigwa ambayo imeonekana kufanya vizuri katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika Desemba 01/2022.

Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa Kamati hiyo, Mwenyekiti wa Kamati , ambaye ni Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro na Diwani wa Kata ya Sabasaba,Mhe. Mohamed Lukwele, amesema kumekuwa na kusuasua kwa maandalizi ya maadhimisho ya UKIMWI ngazi ya Kata, hivyo katika vipindi vijavyo watahakikisha wanafanya maboresho ya kuweka mikakati na mipango thabiti ya kuzipa nguvu kamati za Kata ili ziweze kufanya kazi kwa ufanisi.

" Leo tupo Kata ya Bigwa, wenzetu walifanya vizuri sana katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI ya mwaka 2022, Desemba ngazi ya Kata, kuna kila sababu ya kujifunza walifanikiwa vipi, niombe sana Kata nyingine wakati tunaelekea katika maadhimisho mengine ni vyema wakafika kujifunza lakini sisi kama Kamati tunaenda kuboresha na kuweka mipango yetu vizuri ya Kuongeza Bajeti , tunataka kamati zipewe umuhimu kulingana na majukumu wanayoyafanya ya kupunguza maambuziki mapya ya virusi vya UKIMWI" Amesema Mhe. Lukwele.

Pia, amewapongeza Viongozi Kata ya Bigwa kwa kufanikiwa kupunguza maambukizi ya watu wenye Virusi Vya UKIMWI, kwani takwimu imeonesha kutoka januari -Desemba , 2022 jumla ya waliopima walikuwa 195, ambapo katika idadi hiyo wanaume 87 na wanawake 108 katika Zahanati za Mgolole, Vituli na Misongeni.

Mbali na uhamasishaji wa watu kupima, mafanikio yao yalitokana na kuanzisha mradi wa TIMIZA MALENGO wenye lengo la mabinti wadogo kujiepusha kujiingiza katika masuala ya ngono wakiwa na umri madogo, ambapo katika mradi huo jumla ya Mabinti 133 walipatiwa elimu juu ya mradi huo.

Licha ya kuwa na mradi wa Timiza Malengo, Kata ya Bigwa walienda mbali zaidi na kuanzisha mradi ujulikano kama elimu bora kwa jamii ukiwa na lengo la kuielimisha jamii kuwa bora na kuwa na mtazamo chanya wa maisha.

Mwisho, Kamati hiyo imewataka wananchi kuwa na utaratibu wa kupima afya kwani kupima afya kuna faida ya Kujua afya zao na kuweza kupanga mipango yao , kunusuru afya ya mama na mtoto endapo ameathirika na kutoendelea kuambukiza na kupokea maambukizi mapya.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ORODHA YA MADEREVA NA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA III WALIOITWA KUFANYA USAILI TAREHE 29/08-1/09/2022 August 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC NSEMWA AWATAKA WADAU WA SANAA KUCHANGAMKIA MKOPO WA ASIMILI 10 WA HALMSHAURI

    March 10, 2023
  • KATA YA SABASABA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAKUMBUKA WATOTO WENYE UHITAJI.

    March 07, 2023
  • MBUNGE MZERU AAHIDI MILIONI 1.5 KUTUNISHA MFUKO WA JUKWAA LA WANAWAKE KIHONDA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    March 07, 2023
  • DIWANI CHOMOKA KUJA NA MKAKATI WA KUVISAIDIA VIKUNDI KUPATA MASOKO.

    March 06, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa