• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAADHIMISHA SIKU YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

Posted on: April 26th, 2022

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe.Albert Msando, leo amewaongoza watumishi wa Ofisi ya Manispaa ya Morogoro kufanya Usafi wa mazingira nje ya eneo la Stendi ya Mabasi Msamvu ikiwa ni shamra shamra za sherehe ya Miaka ya 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo amesema umesaidia kuleta upendo na umoja miongoni mwa watumishi.

DC Msando, ameshiriki zoezi hilo la usafi (26.04.2022) katika maeneo ya nje ya Stendi ya Mabasi Msamvu huku akisisitiza kuwa watanzania wameendelea kuwa wamoja na wenye kuheshimiana hatua inayokuza utaifa.

“Leo ni siku muhimu kuona kama watumishi tukiwa na umoja na upendo kati yetu wa Bara na wenzetu wa Zanzibar kufuatia uwepo wa Muungano wa nchi zetu mbili. Tuuenzi Muungano wetu huu ili udumu kwa vizazi vingi zaidi vijavyo” Amesema DC Msando.

Aidha, DC Msando, ameiagiza Manispaa ya Morogoro kupanga vizuri Mji ikiwemo eneo hilo nje ya Stendi ya Mabasi Msamvu ili kuleta taswira nzuri ya mji tofauti na ilivyo sasa ambapo wafanyabiashara ndogondogo wamekuwa wakitumia maeneo ya barabara kupanga biashara zao kiholela.

Naye Katibu Tawala Wilaya ya Morogoro , Ruth John, amewapongeza watumishi wa umma waliopo Manispaa ya Morogoro pamoja na taasisi zilizopo Manispaa ikiwamo wadau wa mazingira na Viongozi mbalimbali wa Kata kwa kujitokeza kuadhimisha sherehe za Miaka 58 ya Muungano kwa kufanya Usafi hatua inayoongoza ushirikiano miongoni mwa watumishi hao.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, amesema tukio la usafi limepokelewa vizuri huku akiwapongeza Watumishi wa Manispaa ya Morogoro na wadau wa mazingira akisema kuwa kitendo cha kufanya usafi siku ya leo ni mwendelezo wa kuonesha umoja wa watanzania mahala pa kazi.

Machela, amewasihi wananchi wa Manispaa ya Morogoro kuendeleza mshikamano wa kidugu na wananchi wa Zanzibar ili kwa pamoja Tanzania ipige hatua zaidi ya kimaendeleo.

Watanzania leo wanaadhimisha sherehe za miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa