• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MRADI WA STENDI MPYA YA DALADALA MANISPAA MORO WAFIKIA ASLIMIA 45%, MEYA ATAKA KASI YA UJENZI IONGEZWE

Posted on: November 14th, 2019

MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amemtaka mkandarasi wa ujenzi wa mradi wa Stendi Mpya ya Daladala, unaosimamiwa na Mhandisi Mshauri M/s HOWARD HUMPHREYS TANZANIA LTD, kuhakikisha mradi huo unakwenda kwa  mkasi kubwa.

Hayo ameyasema leo, Novemba 14, 2019 mbele ya waandishi wa habari, mara baada ya Kamati ya fedha na Uongozi kufanya ziara ya kutembelea mradi huo.

Akizungumza na waandishi wa habari, Meya Kihanga, amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi huo unaoendela kwa sasa, hivyo amemtaka mkanadarasi kufanya kazi uskiu na mchana kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa muda uliopangwa.

Amesema lengo la kutekeleza mradi huo wa Stendi ya Daladala unaogharimu Shilingi  Bilioni 4.1 ndani ya Manispaa ya Morogoro  , umetokana na  hali halisi ya  Stendi iliyopo katikati ya Mji kuzidiwa na wingi wa watu, wingi wa magari na ukuaji wa mji.

" Mkandarasi huu mradi upo chini ya utekelezaji, kama kuna mahala mnakwama mtuambie, haiwezekanai kila tukija hapa hatuoni matokeo, tunataka mradi ukamilike, hizi pesa tunazotumia ni za watu na ifikapo mwezi wa Disemba, tarehe 31, 2109 pesa hizi zinachukuliwa na wenyewe, nadhani mnajua hali tuliyokuwa  nayo Manispaa, tujitahdi ili hizi pesa zisiondoke, fanyeni kazi kwa spidi kubwa na pale mnapoona mnakwama mtushirikishe kwa haraka tuone namna gani tunaweza  kusaidiana ili ujenzi huu ukamilike na ulete tija kwa wananchi na kutoa huduma bora" Amesema Meya Kihanga.

Naye Msimamizi wa Miradi ya Benki kuu ya Dunia, Eng. Mnene James , amesema ujenzi huo unasua sua kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni, hivyo wataongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha mradi huo kwa wakati.

Amesema ujenzi huo unajumuisha Jengo la Utawala, jengo la huduma, Maeneo ya Maegesho pamoja na eneo la maegesho ya Daladala.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa