• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

RC DK KEBWE AWAONDOLEA HOFU WAKAZI WA MITAA MITATU ILIYOPO KARIBU NA BWAWA LA MINDU

Posted on: February 21st, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,  Dk Kebwe Stephen Kebweamewatoa hofu  wananchi wa Kata ya Mindu wanaoishi karibu na Bwawa laMindu kwa kuwataka wawe watulivu wakisubiri maelekezo kutoka Serikalini kuhusuchangamoto inayojitokeza katika eneo wanaloishi.

Mkuu wa Mkoa ametoa kaulihiyo  Februari 20, 2019 wakati akizungumza  na wananchi wamitaa mitatu ya Kata ya Mindu wanaokaa karibu na Bwawa hilo .

Lengo la mkutano huo ulikuwani  kuwafikishia ujumbe ,Mawaziri  wanane  waliotembeleaBwawa hilo hivi karibuni na kuangalia changamoto ya sheria ya mita 60 na mita500 kwa wakazi na shughuli za kibinadamu zinazoendeshwa jirani na bwawa hilo.

Katika ziara hiyo ambapo wakaziwengi walionekana kupatwa na mshtuko wakidhani Mkuu huyo wa Mkoa amepelekaujumbe tofauti na ule uliotolewa na timu ya Mawaziri  wananewaliofika katika bwawa hilo hivi karibuni.

Hata hivyo  Mkuu waMkoa  wa Morogoro aliwatoa hofu akisema kuwa yeye hana jambo jinginejipya zaidi la ujumbe wa Mawaziri hao.

“Kwa hiyo tumeona tuje tuwatoe hofuwananchi kuhusu hili wala hakuna jambo jingine lolote lile” alisema Dkt. Kebwe

Mkuu wa mkoa pia aliwatahadharishawananchi hao kutojimilikisha maeneo katika eneo hilo wala kudanganywa na mtu auwatu kwa kuuziwa viwanja katika eneo hilo ambalo maamuzi yake yanasubiriwakutolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli.

“Hili liko mikononi mwa Mwenyenchi, asije akatokea mtu akawaambia jamani hapa kuna kipande cha shilingi lakimoja au shilingi laki mbili, tujihadhari kwa hilo” aliongeza Dkt. Kebwe .

Nao baadhi ya wananchi wanaoishimitaa  mitatu  katika  Kata yaMindu  iliyopo ndani ya mita  500, Bi RayaSubaha,  bi Nuru Salum na  Andrea Kalinga  kwanyakati tofauti walitoa shukrani zao kwa mkuu wa mkoa waMorogoro  kufika eneo hilo na kuwasilisha maelezo ya Mawaziri hayo yakuwaondoa hofu  juu ya kuvunjiwa nyumba zao huku wakisubiri huruma zaRais  Dk  John Magufuli.

“ Mimi nimeishi  eneohili tangu bwawa hili linajengwa hadi sasa , sina pakwenda na umri wangu nimkubwa , tunamwomba mheshimiwa Rais atuangalie sisi wananchi wanyonge “alisema  Mzee Rashid Lugendo.

Awali, kamati ya Mawaziri wananeiliyoundwa na Rais  ikiongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba naMaendeleo ya Makazi,  William Lukuvi ilitembelea Bwawa hilo na ikatoamaelekezo kwa mkoa huo kusimamisha mipango  yoyote inayoendeleakatika eneo hilo ukiwemo wa kutaka kuwahamisha wakazi wa eneo hilo hadi hapowatakapopewa  maelekezo kutoka Serikalini.

Kamati ya mawaziri haoimepewa  jukumu kufuatilia maeneo yote ya hifadhi yanayodaiwakuvamiwa na wananchi katika maeneo mbalimbali nchini, na ikiwepo eneo la Bwawahilo kwa niaba ya kamati hiyo pia ilizuia watu wasiendelee kuongezeka katikaeneo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa