• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

RC SHIGELA ATATUA MGOGORO WA HEKARI 4500 ENEO LA STAR CITY MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: June 18th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Martine Shigela, amegawa jumla ya hekari 4500 kwa wakazi wa Kiegea Manispaa ya Morogoro kufutia kutatauliwa mgogoro uliokuwa ukiwakabili baina yao pamoja na Mmiliki wa eneo hilo la Star City.

Hatua hiyo ya ugawaji wa hekari 4500 na kutatua mgogoro huo kwa wananchi, imefanyika Juni 18/2021 katika eneo la shamba hilo la Star City lililopo Kiegea Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza na wananchi hao wakati wa mkutano wa hadhara wa kuongea na wananchi wanaotumia na kumiliki eneo hilo la Star City, RC Shigela , amesema mgogoro huo umeisha na hataki kuusikia tena katika kichwa chake zaidi ya kutaka kuona maendeleo yanafanyika katika eneo hilo.

RC Shigela, amesema mgogoro huo ulidumu kwa muda mraefu lakini sasa ufumbuzi umepatikana na wananchi wamepatiwa hekari hizo ili waweze kufanya maendeleo.

Hata hivyo, amesema kuwa hatarajii kusikia tena mgogoro huo ukizungumziwa huku akiwataka wananchi wanaoishi katika shamba hilo wawe na subira wakisubiria Manispaa kuaandaa utaratibu mzuri wa kupima viwanja na jinsi ya kuweza kuupanga mji huo.

" Mgogoro tumeumaliza, kilichobakia ni yale maamuzi ambayo tumekubaliana hapa ya Manispaa kuandaa mpango mzuri wa kupima eneo hili na niwaombe sana wananchi tumemaliza mgogoro sitarajii kurudi tena hapa kutatua mgogoro nataka nikija tena nikute huduma za afya zipo, barabara nzuri na mpangilio mzuri wa makazi ili tuweze kusonga mbele katika kuelekea kuwa Jiji" Amesema RC Shigela.

Sambamba na hayo, RC Sanare, ametoa onyo kwa wananchi wanaojimilikisha na kuuza ardhi nje ya taratibu zilizowekwa na Serikali na kuwataka kufuata sheria ili kuepukana na changamoto zinazoweza kujitokeza.

Katika utatuzi wa mgogoro huo, maamuzi yaliyofikiwa ni kwamba katika zoezi la kupima na kugawa ardhi , Manispaa ya Morogoro watanufaika kwa asilimia 45 huku wananchi wakinufaika kwa asilimia 50 na asilimia 5 zitatumika kwa ajili ya huduma za kijamii.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi wa eneo hilo la Kiegea Star City, akiwemo Bw, Anthony Hoza ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa huyo kwa kutatua mgogoro huo uliokuwa ukitishia Amani .

Naye, Fatma Athumani amesema mgogoro huo ulikuwa unamkosesha amani kutokana na uvamizi wa ardhi uliokuwepo ambao ulikuwa unapelekea ugomvi baina ya pande hizo mbili kwa maana ya wananchi wa mmiliki wa eneo hilo la Star City.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa