• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KWA MAJARIBIO KATA YA KIHONDA , MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: April 1st, 2019

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), JajiSemistocles Kaijage amesema, uandikishaji wa wapiga kura kwa majaribio katikaKata ya Kihonda, Manispaa ya Morogorounaendelea  vyema  kutokana na  idadi kubwa yawatu wenye sifa waliojitokeza katika vituo kumi vilivyoainishwa.

 

Jaji  Kaijage alisemahayo  mara baada ya kukagua zoezi la uandikishaji wa wapiga kura kwamajaribio katika  vituo 10 vilivyopo Kata ya Kihonda , Manispaa yaMorogoro.

“ Uandikishaji wa wapiga kura kwamajaribio  kata ya Kihonda  kwenye  vituo vyote10 , mwitikio ni mkubwa na  niseme uwakilishi umekuwa mzuri kwa akinamama  na vijana wamejitokeza  kujiandikisha kwa wingi“ alisema Jaji Kaijage.

 

  “ Watu ni wengi kwakila kituo , hasa kwa vijana wakiume na wakike wao wamejitokeza  zaidi  “alisema Mwenyekiti wa Tume Jaji Kaijage .

Alisema ,uandikishaji huo unalengakatika kuvifanyia majaribio vifaa vya (BVR) ambavyo vilitumika uchaguzi wamwaka 2015 na mfumo wa uandikishaji wapiga kura ili kubaini changamoto kabla yakuanza kwa  zoezi rasmi  la uadikishaji wapigakura  baadaye mwaka huu.

 

Uandikishaji wa wapiga kura kwamajaribio ulianza   Machi 29  hadi kufikia Aprili 4,mwaka huu, unafanyika  katika vituo 20 kwenye  kata mbiliya Kihonda , Manispaa ya Morogoro na ya Kibuta ya halmashauri ya wilaya yaKisarawe , mkoani Pwani na  kila kata ina jumla ya vituo 10 vyakuandikisha wapiga kura wapya.

 

Kwa upande wao wananchiwaliojiandikisha siku ya kwanza ya zoezi hilo  wanaishi mitaa yaKilombero , Ofisi ya Kata pamoja na Azimio shule ya Msingi kwa nyakati tofautiwaliishukuru Serikali na  tume hiyo kwa kuiteua Kata yao kuwa yamajaribio  ya  uandikishaji  na wameweza kupatakipambulisho cha  mpiga kura .

Mkazi wa mtaa wa Kilombero ,Sharrifa Thabiti alisema ,hakuwahi kuwa na kitambulisho hicho kabla ya uchaguziwa 2015  na alishindwa kutumia haki yake ya msingi ya kupiga kuralicha ya huduma nyingine za kijamii.

Naye mkazi wa mtaa wa AzimioShuleni , Jema Haruna alisema , anayofuraha kupata kitambulisho cha mpigakura  baada ya kushindwa kukipata huko nyuma .

“ Kitambulisho hiki mbali yakutumika wakati wa uchaguzi , pia ni moja ya nyenzo muhimu ya kupata hudumahasa za kifedha  , ni vyema  wasiokuwa nayo wajitokezakuvipata “ alisema Haruma.

Kwa upande wake Prica Samwel mkaziwa mtaa wa Azimio licha ya kuishukuru Serikali kuwaletea zoezi hilo aliwashauriwatu wanashi katika kata ya Kihonda wajitokeza kutumia muda uliopangwakujiandikisha na kupata vitambulisho hivyo.

 

“ Vitambulisho vya mpigakura  ni muhimu kwa faida yetu sote “ alisema mkazi wa mtaa huo.Katika zoezi hilo watu 12,367wanatarajiwa kuandikishwa kutoka  vituo 10 vilivyopo kwenye mitaakumi ya kata ya Kihonda  iliyopo Manispaa ya Morogoro.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa