• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA NA MITAA MANISPAA YA MOROGORO WAPATIWA MAFUNZO,WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA UADILIFU.

Posted on: September 30th, 2024

WASIMAMIZI wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ngazi  ya Kata na Mitaa Manispaa ya Morogoro wamepatiwa  mafunzo maalum yanayolenga Kutoa mwongozo wa namna ya kusimamia Shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unatarajia kufanyika Novemba 27,2024.

Mafunzo hayo yamefunguliwa na Msimamizi  wa Uchaguzi wa Manispaa ya Morogoro,Emmanuel Mkongo, katika Ukumbi wa Tanzanite Hall Septemba 30/2024.

Akizungumza na wasimamizi hao, amewakumbusha  kuzingatia sheria, kanuni, na taratibu zote za uchaguzi pamoja na kusisitiza  umuhimu wa kutunza siri zote zinazohusu mchakato mzima wa uchaguzi.

Hata hivyo, Mkongo, ametoa wito kwa wananchi wote wenye sifa kujiandikisha ili kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa.

“Kila mwananchi mwenye sifa ya kushiriki uchaguzi huu asisite kutumia haki yake ya kikatiba ya kupiga kura,” Ameongeza Mkongo.

Aidha,Mkongo, amewataka wakazi wenye umri wa miaka ishirini na moja au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Mtaa , Ujumbe   kuchukua fomu za kugombea zinazopatikana kwenye ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.

Sambamba na hilo ,amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kutoa elimu zaidi kwa wananchi ili wawe na uelewa wa kutosha katika mchakato mzima wa uchaguzi.

Naye Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya mwanzo Morogoro Mjini, Mbaraka Mchopa, amewakumbusha wasimamizi hao  kuheshimu viapo vyao kwa uaminifu na kuhakikisha wanazingatia sheria, kanuni, na taratibu zote za uchaguzi katika utendaji wao.

Kwa upande wa Afisa Uchaguzi Manispaa ya Morogoro,Shabani Duru, amesema mafunzo hayo yanalenga kuwafanya wasimaizi kuwa na uadilifu na umakini katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia uchaguzi.

Mada nyingine zilizo wasilishwa na waratibu wa uchaguzi ngazi ya Wilaya ni pamoja na matumizi ya fomu mbalimbali za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, maadili ya Utumishi wa umma kwa watumishi wanaohusika katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, upokeaji na utunzaji wa vifaa vya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, tehama,uhamasishaji wa Wananchi kushiriki shughuli zote za uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, kuhabarisha umma juu ya masuala ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na uandaaji wa Taarifa za uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa