• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YATOA MAFUNZO YA MABORESHO KATIKA MFUMO JUMUISHI WA UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA ZA FEDHA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA (EFFARS).

Posted on: August 19th, 2025

MANISPAA ya Morogoro imeendesha mafunzo ya maboresho katika Mfumo wa Uhasibu na Utoaji wa Taarifa za kifedha katika Vituo vya kutolea huduma (Effars).

Mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Mbaraka Mwishehe DDC Agosti 18-2025 ambapo yatafanyika kwa siku mbili mpaka Agosti  19-2025.


Akizungumza katika mafunzo hayo, Mhasibu wa Manispaa ya Morogoro,Mussa Mshana, amesema mafunzo hayo yemelenga zaidi kwa Waalimu wa fedha wa Shule za Msingi, Sekondari na Vituo vyote vya kutolea huduma za afya.

Mshana ,amesema vituo vya kutolea huduma, kama vile zahanati, vituo vya afya na shule za msingi na sekondari, ni taasisi za umma zilizo na jukumu la kutoa huduma ya moja kwa moja kwa wananchi katika maeneo yao.

Aidha, Mshana ,amesema , fedha za kugharamia utoaji wa huduma katika jamii zinatokana na vyanzo mbalimbali, vikijumuisha tozo au michango ya bima za afya kutoka kwa watumia huduma, na ruzuku ya Serikali na Washirika wa Maendeleo.

Hata hivyo,amesema mfumo huo wa FFARS umetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya stadi sahihi (zilizoboreshwa) za udhibiti wa fedha katika ngazi ya kituo

“vituo vimekuwa na changamoto ambayo imekuwepo kwa muda mrefu kama vile uwepo wa mifumo mbalimbali ya kisekta ya uhasibu/udhibiti wa fedha, kukosekana kwa utaratibu mzuri na jumuishi wa utoaji wa taarifa za fedha jambo ambalo linapelekea  taarifa za fedha za halmashauri ambazo sio kamili na ndio maana wameona umuhimu wa kutoa mafunzo hayo.

Faida za  mafunzo hayo ni malipo kufanyika kwa haraka zaidi ukiliganisha na sasa, ulinzi na usalama wa taarifa za malipo ya  wateja,uzingatiaji wa sera,, sheria , kanuni na usimamizi wa matumizi ya fedha za Serikali. 

Mafunzo hayo yataendelea Agosti 19-2025 yakijumuisha waalimu wa fedha Shule za Sekondari pamoja na watoa huduma wa vituo vya afya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • CPA MBEMBELWA ATOA WITO KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI ,MSINGI NA VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA MFUMO WA EFFARS

    August 22, 2025
  • MANISPAA YA MOROGORO YATOA MAFUNZO YA MABORESHO KATIKA MFUMO JUMUISHI WA UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA ZA FEDHA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA (EFFARS).

    August 19, 2025
  • MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI,ASISITIZA USHIRIKIANO.

    August 08, 2025
  • MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

    August 07, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa